Msaada wenu Wataalam au kama aliwahi kutibiwa na ukapona, ushauri wako utasaidia

Alipima akakutwa na H pylori na kuhusu Ant acid anatumia na akinywa maumivu upungua
Sasa kumbe na amepima kabisa. Alipewa dawa gani ? Maana shida ni vidonda vya tumbo, ishu ipo kwenye dawa, sidhani kama alimaliza dozi au anatumia dawa sahihi.
 

Bado hamjapata ufumbuzi
Kama bado tafadhali nicheki nikusaidie
 
Mbona hizo ni dalili za ulcers live mnahangaika na nini sasa? Aacha vyakula vinavyoongeza acidity na apate ushauri zaidi hospital.. acha ku google dawa nenda hospital mzee
 
Niko tofauti kidogo, Jamaa yako alikuwa mtu wa mazoezi sana? Naomba jibu.
Mimi pia nasumbuliwa na hizo dalili ikiwemo kupepesuka nikitembea..

Kama ulivosema ulivo uliza Mimi nilikua mtu wa mazoezi sana Sanaa nilikua nafanya mazoezi mpaka watu wakasema nazidisha Ila baadae niliacha Kama miezi mi tatu hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…