Ndama Jeuri
JF-Expert Member
- Jul 9, 2015
- 1,520
- 1,504
F-Fail with 0 point, S-Subsidiary With 0.5 points, E-Principle pass with 1.0 points, D-Principle pass with 2.0 points, C-Principle pass with 3.0 points,B-Principle pass with 4.0 points,A-Principle pass with 5.0 points.Hakuna D ya subsidiary, period. D inabaki kuwa D na Subsidiary inabaki kuwa Subsidiary. Tofauti na hapo nithibitishie hii D subsidiary imeanza kutolewa mwaka upi wa matokeo
Kupata ushauri mzuri ni afadhali uweke matokeo yake kamili. Pili pitia admission guide ya tcu. Tatu ikibidi aangalie pia admission guide ya NACTE ili kamauwezekano wa kupata degree course aipendayo basi afikirie a two year diploma course. All the best.Tuko zama za kuchagua kozi kwa busara na si kusoma tu. huu ni uwanja wa wazoef katika uwekezaji kielim. binti yangu alipata div 3 pcm. nimwelekeze mlengo gani kifani?
GS- D, PHYSICS- E, CHEMISTRY- E, ADV MATH- D, point- 13, DIV III.Kupata ushauri mzuri ni afadhali uweke matokeo yake kamili. Pili pitia admission guide ya tcu. Tatu ikibidi aangalie pia admission guide ya NACTE ili kamauwezekano wa kupata degree course aipendayo basi afikirie a two year diploma course. All the best.
Kwenye masomo 2 ana D na E ambayo kwa point za TCU ana jumla ya point 3 na siyo 4 zinazotakiwa. Hivyo nashauri aangalie course za diploma chini ya NACTE. Ukiingia nacte.go.tz utapata admission guide yao. All the best mkuu.GS- D, PHYSICS- E, CHEMISTRY- E, ADV MATH- D, point- 13, DIV III.
Mkuu pfincipal pass inaanzia E.Vyuo karibia vyote ni vipi. Hizo guidelines zipo ila kutokana na ushindani leo hii kwa matokeo haya ukiomba nafasi UDSM au DIT miaka kumi mfurulizo na guidelines hizihizi huchaguliwi. Kuna competition kubwa.
Anaweza kuwa na III ya 13 ila akawa hana principal pass ya masomo mawili. Principal pass inaanza na D sasa kama mfano (a) amepata CEE sawa na points 13 au (b) amepata DDE sawa na points 13, hapo anayechukuliwa haraka ni huyo (b)
Hapo hachaguliwi engineering yoyote UDSM au DIT, maybe NIT anaweza chaguliwa Automobile Engineering. MUST na ATC pa kufanyia application. Kwa vile kasoma sayansi kozi nyingi za Arts ukiondoa Law anasoma
Mkuu angalia matokeo ya subsidiary courses general studies na BAM utaona kuna wenye a hadi e achilia mbali f.Hakuna D ya subsidiary, period. D inabaki kuwa D na Subsidiary inabaki kuwa Subsidiary. Tofauti na hapo nithibitishie hii D subsidiary imeanza kutolewa mwaka upi wa matokeo