Msaada yafadhali: Namna ya kurejeshewa fedha zilizozidi HESLB

Msaada yafadhali: Namna ya kurejeshewa fedha zilizozidi HESLB

Mwee

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2018
Posts
246
Reaction score
617
Naomba mwenye ulewa anisaidie namna ya kujaza maombi ya kuresha fedha iliyozidi Toka bodi mikopo Kwa njia ya online.

Natanguliza shukrani.
 
Naomba mwenye ulewa anisaidie namna ya kujaza maombi ya kuresha fedha iliyozidi Toka bodi mikopo Kwa njia ya online. Natanguliza shukrani.
Kwa online sijui..
Lakini mimi nilizidishiwa makato HESLB nikaandika barua ikieleza deni na nilichokatwa. Barua iliataja kozi, mwaka wa kuanza na kumaliza, chuo na faculty (kw wakati huo) Nikaweka akaunti namba yangu ya benki, then nikarudishiwa kiasi kilichozidi.

Sasa kama kuna tofauto na online sijui
 
Naomba ueleze vizur mkuu
Anuani uliiandikia ni ipi?
Kwa mfano mm kesi yangu nilimaliza deni kwenye salary slip kama inavyoonesha mwezi huu wa january lakin nashangaa bodi wameniandikia deni jipya la zaidi ya milioni mbili
Nataka niandike barua ya complain na wanipe ufafanuzi kwann wameniandikia deni jipya na lazamani limekwisha

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwa online sijui..
Lakini mimi nilizidishiwa makato HESLB nikaandika barua ikieleza deni na nilichokatwa. Barua iliataja kozi, mwaka wa kuanza na kumaliza, chuo na faculty (kw wakati huo) Nikaweka akaunti namba yangu ya benki, then nikarudishiwa kiasi kilichozidi.

Sasa kama kuna tofauto na online sijui
Ufafanuzi anuani na maelekezo mengine ya kuandika barua

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom