Kwa online sijui..
Lakini mimi nilizidishiwa makato HESLB nikaandika barua ikieleza deni na nilichokatwa. Barua iliataja kozi, mwaka wa kuanza na kumaliza, chuo na faculty (kw wakati huo) Nikaweka akaunti namba yangu ya benki, then nikarudishiwa kiasi kilichozidi.
Sasa kama kuna tofauto na online sijui