Msaada: Yeyote aliyeko Makambako anisaidie blanket hii baridi itaniua leo

Msaada: Yeyote aliyeko Makambako anisaidie blanket hii baridi itaniua leo

Watu mnaogopa baridi
IMG_20220703_215336.jpg
 
Hii Hali kesho naondoka mwenye uhitaji na room ipo sabasaba Brock J Kodi ishalipwa miezi miwili anaweza kunipa nusu hasara 20000 room Iko vizuri umeme na maji ndani marumaruView attachment 2279345
Kama unapumua fresh sio tatizo mkuu niliwahi kupanda mlima kilimanjaro oxygen ilikua negative 6 baridi ya pale ni kama mtu anakukata na kisu
 
Hapo mbona 'Unaambiwa' ukifika kuna mablanketi chapa 'mtu'...Yanakukaribisha kwa Ukarimu , We hukuyaona Hayo 'MABLANKETI'...? ila chukua tahadhari maana KI takwimu Iringa inaongoza kwa 'KIMWI'.
 
Sogea hapo njombe ukapate Baridi ya maana ili uikumbuke hiyo sehemu uliyopo sasa!
 
Kwa unyenyekevu kabisa Wana JamiiForums walioko Mafinga naomba mnisaidie Blanket la kujifunika usiku wa leo mwili wangu una changamoto na baridi.

Nimeenda kuulizia madukani bei yake sio rafiki na bajeti niliyokuwa nayo. Nipo desperate labda kadri siku zinavyoenda nitakuwa kwenye Hali yangu ya kawaida.
[emoji15][emoji1] BabaMorgan lile la chapa ntu!?
 
... kadiri muda unavyoenda mwili utaji-adjust na kuzoea hali ya hewa.
Ile baridi haozoeleki na unaweza kufa
Kama unapumua fresh sio tatizo mkuu niliwahi kupanda mlima kilimanjaro oxygen ilikua negative 6 baridi ya pale ni kama mtu anakukata na kisu
Baridi ikiwa kali inaua ndugu yangu, kuna kitu kinachoitwa Hypothermia ambapo mwili unapoteza joto jingi kuliko unavyoweza kuzalisha na hivyo kushindwa ku maintain body temperature ya 37C, yaani mwili unaanza kupoa kama maiti inavyopoa na unakufa
 
Ile baridi haozoeleki na unaweza kufa

Baridi ikiwa kali inaua ndugu yangu, kuna kitu kinachoitwa Hypothermia ambapo mwili unapoteza joto jingi kuliko unavyoweza kuzalisha na hivyo kushindwa ku maintain body temperature ya 37C, yaani mwili unaanza kupoa kama maiti inavyopoa na unakufa
Baridi linakumaliza naona huruma Kwa homeless wanaoishi mikoa ya baridi aisee mungu awasaidie aisee niliwahi kujiona bingwa wa kulala nje ila Kuna mikoa ni balaa Moja na nusu.
 
Kwa unyenyekevu kabisa Wana JamiiForums walioko Mafinga naomba mnisaidie Blanket la kujifunika usiku wa leo mwili wangu una changamoto na baridi.

Nimeenda kuulizia madukani bei yake sio rafiki na bajeti niliyokuwa nayo. Nipo desperate labda kadri siku zinavyoenda nitakuwa kwenye Hali yangu ya kawaida.
Makambako unafanya nini? Au ndiyo ule mkasa wako unaendelea?

Mara umejikuta uko kwenye gari unaelekea Tunduru! Ukifika tu Tunduru, akili inakuambia haraka sana ondoka nenda Makambako! Unafika Makambako, akili hiyo hiyo inakutaka kwenda Mafinga! Huku hela inazidi tu kupukutika.
 
Back
Top Bottom