Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,762
- 1,823
- Thread starter
-
- #21
Sawa mkuu ngoja nifanyie kazi ushauri wako ...nichukue ata A12 au unasemaje mkuu bajeti yangu ni 270kAchana nayo, katafute hata Samsung A series. Labda kama unamapenzi ya dhati na hiyo simu uifanye kama kitochi.
sawa mkuu nashukur kw ushauri wakoDuh hiyo simu sijui nilitumia enzi za ujima huko hata ilipokwenda sikumbuki.
Ni kwamba ni ya kutupa tu maana hana fundi simu wala vifaa vitapatikana kutengeneza hiyo cm.
Ichongee boksi peleka pale makumbusho ya taifa ikae kwenye kumbukumbu.
Usisahau kuweka jina na no yacm labda wajapan watakutafuta siku.
Hahahaha ulikula shushu sana 🤣🤣🤣BL6F unaweza kuzipata ebay, amazon hata alibaba zinapatikana changamoto itakuwa ni kwenye ubora.
Miaka ile ya Mzee wa akili za kuambiwa changanya na zako nilihonga binti huu mtambo, nilipewa kila kitu
View attachment 2467538
Dunia inaenda mbele wewe unarudi nyuma. Hiyo simu nadhani niliitumia 2008 before the coming of android technologies.
Tafuta battery
Sawa na mtandaoni unaweza ingia?mfano googleKwa matumizi ya kawaida ya simu, ni simu poa bado...
Uchukue A series wakati kuna mawe ya Sony kama XZ3 unaweza ukaipata kwa bei hio.Sawa mkuu ngoja nifanyie kazi ushauri wako ...nichukue ata A12 au unasemaje mkuu bajeti yangu ni 270k
noma sanaa hakika ni sawa kitochiNi sawa na kiwa na kitochi.
App 0
Mtandao 3g
Sawa chief ntafanya mchakatoMost of time Nokia zote zina Signal reception nzuri, na battery ni hizo hizo zinatumika hadi leo kwenye michina.
Battery lake linaitwa BL 5F, nenda maduka ya battery watajie watakupa.
pamja mkuuNenda kariakoo battery unapata, ila itumie tu kama fashion usitegemee kupata app za maana tena katika hiyo simu.
Kati ya sony XZ3 na samsung A series ipi ina kaa na chaji sanaa na pia upande wa mtandao vp na pia suala spare zake je?ipi naweza pata kwa urahisi?Uchukue A series wakati kuna mawe ya Sony kama XZ3 unaweza ukaipata kwa bei hio.
Swala la spare zote utapata na XZ3 inakaa na umeme zaidi camera kali sana ram kubwa na storageKati ya sony XZ3 na samsung A series ipi ina kaa na chaji sanaa na pia upande wa mtandao vp na pia suala spare zake je?ipi naweza pata kwa urahisi?
Na mm nasubiria jibu hapaKati ya sony XZ3 na samsung A series ipi ina kaa na chaji sanaa na pia upande wa mtandao vp na pia suala spare zake je?ipi naweza pata kwa urahisi?
Unanipa kiasi gani mkuu?Niuzie N96 mkuu
Sawa mkuu let wait
Duh hii simu ilikuwa kitambo sana wakati naitumia,kama vipi hii simu achana nayo kanunue hata Samsung A01
Ahsante mkuu ...kwa maana hy kwa hii bajeti yangu napata yenye 64GB?Swala la spare zote utapata na XZ3 inakaa na umeme zaidi camera kali sana ram kubwa na storage
Yeah unapata mkuu, cheki kama hio hapo ndio natumia mimi sahizi. Camera yake bomba kishenziAhsante mkuu ...kwa maana hy kwa hii bajeti yangu napata yenye 64GB?
Napata kwa bei gani dukani ,yenye 64GB?Duh hii simu ilikuwa kitambo sana wakati naitumia,kama vipi hii simu achana nayo kanunue hata Samsung A01