Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,762
- 1,823
- Thread starter
- #41
pamja kiongoziYeah unapata mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pamja kiongoziYeah unapata mkuu
Utachagua sasa ukanunue infinix ya laki 2 ya 2GB Ram na storage 32GB camera mbovu au ununue jiwe la kijapani lenye 4GB Ram na 64GBpamja kiongozi
Nimeigugo hio simu naona ni toleo la 2018. je? Zinaweza kuwepo madukani 2023 hii. Na kwa bei gani mkuu.Swala la spare zote utapata na XZ3 inakaa na umeme zaidi camera kali sana ram kubwa na storage
Kuna gem langu ka gameloft la mission nishalitafutaa Android silipatii kabisaaaInsta na whatsapp hamna ila FB bado ipo, na kuna Games za kutosha nyengine hadi online. Youtube, Music players, bila kusahau zinarecord simu
Brand New itakuwa laki 5 au zaidiNimeigugo hio simu naona ni toleo la 2018. je? Zinaweza kuwepo madukani 2023 hii. Na kwa bei gani mkuu.
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Ngoja nijikaze n nichukue hilo jiwe ..ila bei ya dukani ni ngap? mkuuUtachagua sasa ukanunue infinix ya laki 2 ya 2GB Ram na storage 32GB camera mbovu au ununue jiwe la kijapani lenye 4GB Ram na 64GB
View attachment 2468518
Kaiuze kwenye jumba la makumbusho.Kwa hiyo unanishaurije mkuu niitupe
Bei si hio inaonekana hapo ni 200K ukizunguka zunguka unaweza pata kwa 180KNgoja nijikaze n nichukue hilo jiwe ..ila bei ya dukani ni ngap? mkuu
HahahaaKaiuze kwenye jumba la makumbusho.
Sawaa mkuu ahsante kwa ushauri wakoBei si hio inaonekana hapo ni 200K ukizunguka zunguka unaweza pata kwa 180K
Poa poaSawaa mkuu ahsante kwa ushauri wako