Msaada: Yeyote anayemjua mtaalam anayeweza kumrejesha ndugu yetu aliyefariki kifo cha kutatanisha

Msaada: Yeyote anayemjua mtaalam anayeweza kumrejesha ndugu yetu aliyefariki kifo cha kutatanisha

Am focused

Member
Joined
Jun 13, 2021
Posts
41
Reaction score
173
Salamu kwenu jukwaa!

Kama maada inavyosema, sijaleta kichekesho ila nimeleta shida mbele yenu wana-jukwaa. Tanzania ni nchi kubwa sana na ninaamini kuna watu waliwahi kukumbana na shida ya kuondokewa na ndugu yao katika mazingira yaliyoacha shaka kubwa kama ambavyo imetutokea sisi na wakafanikiwa kumrejesha mpendwa wao.

Tafadhali naomba usikejeli kwa maana hayajakutokea na kumbuka hujafa hujaumbika, ni bora ukae kimya kuliko kutukana au kukejeli.

Naomba niwakaribishe PM au kwenye comments🙏🏾
 
Salamu kwenu jukwaa!

Kama maada inavyosema, sijaleta kichekesho ila nimeleta shida mbele yenu wana-jukwaa. Tanzania ni nchi kubwa sana na ninaamini kuna watu waliwahi kukumbana na shida ya kuondokewa na ndugu yao katika mazingira yaliyoacha shaka kubwa kama ambavyo imetutokea sisi na wakafanikiwa kumrejesha mpendwa wao.

Tafadhali naomba usikejeli kwa maana hayajakutokea na kumbuka hujafa hujaumbika, ni bora ukae kimya kuliko kutukana au kukejeli.

Naomba niwakaribishe PM au kwenye comments🙏🏾
Poleni kwa msiba.

Nashauri huyo mtaalam msimpe chochote mpaka ndugu yenu anyanyuke.

Hata aseme misimu ndiyo inataka.

Cc Mshana Jr
 
Mtu akishaitwa kafa na akazikwa hua harudi tena. japo inakua ni illusion sio mtu harusi, kama mshamzika basi ndio imetoka.

Poleno kwa kuibiwa ndugu yenu maana hua sio kufa bali kuhamishiwa Dimension nyingine
 
Ushauri wangu ni mkubaliane na matokeo kuwa ndugu yenu hamnae tena. Itawasaidia pia katika kupona jeraha la kumpoteza.

Hichi mnachotaka kufanya kwa kuaminiswa vinginevyo itakugharimuni pesa na amani ya nafsi zenu.
Kuna watu ni wataalamu wa kukuaminisha kuwa ndugu yenu hajafa na katika hiyo process wanakupigeni pesa.

Mtandaelea kuomboleza milele.

Acha Mungu atoe hukumu yake kuliko kuweka matumaini hewa kwa wanadamu wengine.

Poleni kwa msiba.
 
Salamu kwenu jukwaa!

Kama maada inavyosema, sijaleta kichekesho ila nimeleta shida mbele yenu wana-jukwaa. Tanzania ni nchi kubwa sana na ninaamini kuna watu waliwahi kukumbana na shida ya kuondokewa na ndugu yao katika mazingira yaliyoacha shaka kubwa kama ambavyo imetutokea sisi na wakafanikiwa kumrejesha mpendwa wao.

Tafadhali naomba usikejeli kwa maana hayajakutokea na kumbuka hujafa hujaumbika, ni bora ukae kimya kuliko kutukana au kukejeli.

Naomba niwakaribishe PM au kwenye comments🙏🏾
Pole na msiba ila mtu akishakufa amekufa . Utatapeliwa bure hela yako hakuna wa kumfufua mtu
 
Ndiyo tumemzika mkuu
Zimepita siku 7?

Kuna mwamba namjua, tatizo ni kwamba hii issue umeamua mwenyewe au mmekubaliana ndugu?

Una hakika akija mtu ambae mlimzika mtaweza kuishi nae?

Kuna possibility akija haji peke yake maana mnakua mmefungua mlango wa kuzimu anaweza kuja na kikosi.

Naomba jifikirie kwanza.
 
Salamu kwenu jukwaa!

Kama maada inavyosema, sijaleta kichekesho ila nimeleta shida mbele yenu wana-jukwaa. Tanzania ni nchi kubwa sana na ninaamini kuna watu waliwahi kukumbana na shida ya kuondokewa na ndugu yao katika mazingira yaliyoacha shaka kubwa kama ambavyo imetutokea sisi na wakafanikiwa kumrejesha mpendwa wao.

Tafadhali naomba usikejeli kwa maana hayajakutokea na kumbuka hujafa hujaumbika, ni bora ukae kimya kuliko kutukana au kukejeli.

Naomba niwakaribishe PM au kwenye comments🙏🏾
Hapo umewaita wazee wa fursa kuwa makini utapigwa kibunda
 
Salamu kwenu jukwaa!

Kama maada inavyosema, sijaleta kichekesho ila nimeleta shida mbele yenu wana-jukwaa. Tanzania ni nchi kubwa sana na ninaamini kuna watu waliwahi kukumbana na shida ya kuondokewa na ndugu yao katika mazingira yaliyoacha shaka kubwa kama ambavyo imetutokea sisi na wakafanikiwa kumrejesha mpendwa wao.

Tafadhali naomba usikejeli kwa maana hayajakutokea na kumbuka hujafa hujaumbika, ni bora ukae kimya kuliko kutukana au kukejeli.

Naomba niwakaribishe PM au kwenye comments🙏🏾
nenda Tanga kwamsisi. Mtafute gstar akupe msaada zaidi
 
Zimepita siku 7?

Kuna mwamba namjua, tatizo ni kwamba hii issue umeamua mwenyewe au mmekubaliana ndugu?

Una hakika akija mtu ambae mlimzika mtaweza kuishi nae?

Kuna possibility akija haji peke yake maana mnakua mmefungua mlango wa kuzimu anaweza kuja na kikosi.

Naomba jifikirie kwanza.
Anakujaje na kikosi wakati kaitwa pekeyake?
 
Salamu kwenu jukwaa!

Kama maada inavyosema, sijaleta kichekesho ila nimeleta shida mbele yenu wana-jukwaa. Tanzania ni nchi kubwa sana na ninaamini kuna watu waliwahi kukumbana na shida ya kuondokewa na ndugu yao katika mazingira yaliyoacha shaka kubwa kama ambavyo imetutokea sisi na wakafanikiwa kumrejesha mpendwa wao.

Tafadhali naomba usikejeli kwa maana hayajakutokea na kumbuka hujafa hujaumbika, ni bora ukae kimya kuliko kutukana au kukejeli.

Naomba niwakaribishe PM au kwenye comments🙏🏾
Acha Imani potovu,hakuna kitu kama hicho,hata mzee wa Shakahola hawezi kufanya hivyo,aliweza tu kuwaua waumini kwa kuwanyima chakula,ila kamwe hata weza na hawezi kuwafufua🤔
 
Back
Top Bottom