Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zimepita siku 7?
Kuna mwamba namjua, tatizo ni kwamba hii issue umeamua mwenyewe au mmekubaliana ndugu?
Una hakika akija mtu ambae mlimzika mtaweza kuishi nae?
Kuna possibility akija haji peke yake maana mnakua mmefungua mlango wa kuzimu anaweza kuja na kikosi.
Naomba jifikirie kwanza
jeshi la polisi, mahakama, hospital, na ofisi ya mkemia mkuu........hao ndio wataalam wanaoweza kukusaidia kwa sasa.....pole kwa msiba.Salamu kwenu jukwaa!
Kama maada inavyosema, sijaleta kichekesho ila nimeleta shida mbele yenu wana-jukwaa. Tanzania ni nchi kubwa sana na ninaamini kuna watu waliwahi kukumbana na shida ya kuondokewa na ndugu yao katika mazingira yaliyoacha shaka kubwa kama ambavyo imetutokea sisi na wakafanikiwa kumrejesha mpendwa wao.
Tafadhali naomba usikejeli kwa maana hayajakutokea na kumbuka hujafa hujaumbika, ni bora ukae kimya kuliko kutukana au kukejeli.
Naomba niwakaribishe PM au kwenye comments[emoji1488]
Pole sana Mungu akutie nguvu na akupe faraja.Mkuu kubali yapite mi tarehe 12/3/2023 nimempoteza mwanangu kwa mazingira tatanishi ameumwa siku 2 na kufia benjamini mkapa ila kuna viashiria vyote na wahusika kujulikana nimeshauriwa sana kulipiza ila nimekataa,acha yapite ni mapito japo picha zake kwenye simu zinaniumiza sana
Kifo ni kifo tu mkurugenzi. Hakuna mganga yeyote yule mwenye huo uwezo. Mtaishia tu kutapeliwa.Salamu kwenu jukwaa!
Kama maada inavyosema, sijaleta kichekesho ila nimeleta shida mbele yenu wana-jukwaa. Tanzania ni nchi kubwa sana na ninaamini kuna watu waliwahi kukumbana na shida ya kuondokewa na ndugu yao katika mazingira yaliyoacha shaka kubwa kama ambavyo imetutokea sisi na wakafanikiwa kumrejesha mpendwa wao.
Tafadhali naomba usikejeli kwa maana hayajakutokea na kumbuka hujafa hujaumbika, ni bora ukae kimya kuliko kutukana au kukejeli.
Naomba niwakaribishe PM au kwenye comments🙏🏾
Mkuu kubali yapite mi tarehe 12/3/2023 nimempoteza mwanangu kwa mazingira tatanishi ameumwa siku 2 na kufia benjamini mkapa ila kuna viashiria vyote na wahusika kujulikana nimeshauriwa sana kulipiza ila nimekataa,acha yapite ni mapito japo picha zake kwenye simu zinaniumiza sana
Atakuwa bize na lesson planYule jamaa wa kwamsisi na story yake kaishia wapi jaman
Pole sana mkuuMkuu kubali yapite mi tarehe 12/3/2023 nimempoteza mwanangu kwa mazingira tatanishi ameumwa siku 2 na kufia benjamini mkapa ila kuna viashiria vyote na wahusika kujulikana nimeshauriwa sana kulipiza ila nimekataa,acha yapite ni mapito japo picha zake kwenye simu zinaniumiza sana
Je Medium unapatia kwa wapi hapaTZ?Unahitaji medium,sio kumfufua.
Poleni sana, nina elewa mnacho pitia nime fikwa na mimi jambo kama hilo na nili wahi uliza humu namna kama ina wezekana hata kuwasiliana na marehemu , nina maumivu makubwa na bado najitahidi sana kuweza kukubaliana na hii hali , ila bado sija ikubali na maumivu ni haya semeki , nampenda sana kijana wangu aliye ondoka , hata kumuita marehemu sitaki. Kama mtafanikiwa kwa hilo naomba pia uni pe taarifa ili na mimi ni jaribu bahati yangu kama ita wezekana . Kama hautajali njoo inbox tuongee zaidi , kuhusu hili suala.Salamu kwenu jukwaa!
Kama maada inavyosema, sijaleta kichekesho ila nimeleta shida mbele yenu wana-jukwaa. Tanzania ni nchi kubwa sana na ninaamini kuna watu waliwahi kukumbana na shida ya kuondokewa na ndugu yao katika mazingira yaliyoacha shaka kubwa kama ambavyo imetutokea sisi na wakafanikiwa kumrejesha mpendwa wao.
Tafadhali naomba usikejeli kwa maana hayajakutokea na kumbuka hujafa hujaumbika, ni bora ukae kimya kuliko kutukana au kukejeli.
Naomba niwakaribishe PM au kwenye comments🙏🏾
Pole Sana mkuu.. maumivu ya kufiwa na mtu unaye mpenda hayana mfano!Poleni sana, nina elewa mnacho pitia nime fikwa na mimi jambo kama hilo na nili wahi uliza humu namna kama ina wezekana hata kuwasiliana na marehemu , nina maumivu makubwa na bado najitahidi sana kuweza kukubaliana na hii hali , ila bado sija ikubali na maumivu ni haya semeki , nampenda sana kijana wangu aliye ondoka , hata kumuita marehemu sitaki. Kama mtafanikiwa kwa hilo naomba pia uni pe taarifa ili na mimi ni jaribu bahati yangu kama ita wezekana . Kama hautajali njoo inbox tuongee zaidi , kuhusu hili suala.