Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Dah😆😆Mimi nakutafutia mtaalam akupime akili wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah😆😆Mimi nakutafutia mtaalam akupime akili wewe.
Zimepita siku 7?
Kuna mwamba namjua, tatizo ni kwamba hii issue umeamua mwenyewe au mmekubaliana ndugu?
Una hakika akija mtu ambae mlimzika mtaweza kuishi nae?
Kuna possibility akija haji peke yake maana mnakua mmefungua mlango wa kuzimu anaweza kuja na kikosi.
Naomba jifikirie kwanza.
Mimi nimeona kwetu meru.wazee wakagoma kuizika maiti.ilikua ni kuna ndugu yetu aliolewa njombe.sasa kule kumbe mama mkwe hakua anampenda.picha linaanzia hapo.Daah achaa tuu.. Haya mambo yanaumizaa sanaaa kiukweli ukisikiliza maneno ya watu unaenda kwa MGANGAAA..!! kifo kinaumizaa sanaa..mnooo.
Daah aisee haya mambo yasikie tu kwa mwenzio mimi ndugu wa karibu kabisa alifariki ghaflaa aisee tumezika baadae nkaanza kusikia maneno nikajitahidi kuamini amekufa kifo cha kawaida maana nilishaanza kuwa na mawazo ya kumtafuta mchawi naniMimi nimeona kwetu meru.wazee wakagoma kuizika maiti.ilikua ni kuna ndugu yetu aliolewa njombe.sasa kule kumbe mama mkwe hakua anampenda.picha linaanzia hapo.
Basi akafanya ya kufanya.
Wale wazee maiti ilipoletwa wakatukana sana wakasema tunamzika kikaragosi.mtu mwenyewe kabaki njombe.usiombe haya mambo.
vilifanywa vitu maiti ikaanza kulia wakasema iachwe mpaka itapoacha kulia, kweli alipoacha kulia wazee wakasema azikwe kwamba kumrudisha haiwezekani ila na kule washenzi hawapati kitu.
Uchawi kitu kibaya sana.
Dah! Pole sana mkuuMkuu kubali yapite mi tarehe 12/3/2023 nimempoteza mwanangu kwa mazingira tatanishi ameumwa siku 2 na kufia benjamini mkapa ila kuna viashiria vyote na wahusika kujulikana nimeshauriwa sana kulipiza ila nimekataa,acha yapite ni mapito japo picha zake kwenye simu zinaniumiza sana
Elimu ni Pana Dunia hiiAcha Imani potovu,hakuna kitu kama hicho,hata mzee wa Shakahola hawezi kufanya hivyo,aliweza tu kuwaua waumini kwa kuwanyima chakula,ila kamwe hata weza na hawezi kuwafufua🤔
Kama hamjafanya 40 msifanye.
Kufanya 40 maana mmekubali matokeo
Kuna uwezekaniwa kutofanywa 40 na mpendwa aka rudishwa ? nacho sikia ni kwamba kama akchukuliwa kurudi ni pale ambapo haja zikwa akisha zikwa basi tena je ina ukweli?Kama hamjafanya 40 msifanye.
Kufanya 40 maana mmekubali matokeo
Hata akizikwa anakuwa sio yeye zipo dalili za kujua aliyezikwa ni mtu au kingine,wabobezi wa elimu hio wanajua kwa kulitazama tu kaburi.Kuna uwezekaniwa kutofanywa 40 na mpendwa aka rudishwa ? nacho sikia ni kwamba kama akchukuliwa kurudi ni pale ambapo haja zikwa akisha zikwa basi tena je ina ukweli?
Wengi walio pandisha walisema sio yeye na hata kaburibi sijui kitu kama lili bomoka upande wakati w kutaka kuzika ikabisi wachime tena wakadai ni ishaara sasa sijui hapo ina ukwli gani.Hata akizikwa anakuwa sio yeye zipo dalili za kujua aliyezikwa ni mtu au kingine,wabobezi wa elimu hio wanajua kwa kulitazama tu kaburi.
Maana ya 40 ni kuridhia.
Hata yule mbongo movie waliambiwa wasifanye 40
Usilolijua usilitolee ushuhuda,Acha Imani potovu,hakuna kitu kama hicho,hata mzee wa Shakahola hawezi kufanya hivyo,aliweza tu kuwaua waumini kwa kuwanyima chakula,ila kamwe hata weza na hawezi kuwafufua[emoji848]
Asante ngja ni andike hay ajina na niwatafute hao watu .Watafute watu Hawa Mussa Chesa huyu alikua kitengo Cha misukule nchini anajua machimbo Yote ya wachawi nchini,Amiel Katekela walikuwa kwenye fani hio Wanajua A to Z kuhusu uchawi na wachawi watakusaidia pa kuanzia
Kitengo cha misukule nchini kiko wapi?Watafute watu Hawa Mussa Chesa huyu alikua kitengo Cha misukule nchini anajua machimbo Yote ya wachawi nchini,Amiel Katekela walikuwa kwenye fani hio Wanajua A to Z kuhusu uchawi na wachawi watakusaidia pa kuanzia