Msaada: Yeyote anayemjua mtaalam anayeweza kumrejesha ndugu yetu aliyefariki kifo cha kutatanisha

Msaada: Yeyote anayemjua mtaalam anayeweza kumrejesha ndugu yetu aliyefariki kifo cha kutatanisha

Zimepita siku 7?

Kuna mwamba namjua, tatizo ni kwamba hii issue umeamua mwenyewe au mmekubaliana ndugu?

Una hakika akija mtu ambae mlimzika mtaweza kuishi nae?

Kuna possibility akija haji peke yake maana mnakua mmefungua mlango wa kuzimu anaweza kuja na kikosi.

Naomba jifikirie kwanza.
Akirudi anakuja na kikosi cha mizimu 😂🤣
 
Zimepita siku 7?

Kuna mwamba namjua, tatizo ni kwamba hii issue umeamua mwenyewe au mmekubaliana ndugu?

Una hakika akija mtu ambae mlimzika mtaweza kuishi nae?

Kuna possibility akija haji peke yake maana mnakua mmefungua mlango wa kuzimu anaweza kuja na kikosi.

Naomba jifikirie kwanza.
Hahahaha hii kambaa
 
Hii ilikuwa mshughulike akiwa bado anaumwa, sijajua kama ni watu wanakuwa wamefungwa kimawazo? Mara nyingi, wengi huwa wanakuja kushtuka baada ya mtu kuwa amefariki.
Na hii inasababishwa na jamii zetu kutokuwa na umoja katika uuguzaji, ambao ungewezesha kudadisi tatizo, kabla ya hitimisho.
Kwa ushauri tu; usihangaike na hili jambo,litakutesa.​
 
Salamu kwenu jukwaa!

Kama maada inavyosema, sijaleta kichekesho ila nimeleta shida mbele yenu wana-jukwaa. Tanzania ni nchi kubwa sana na ninaamini kuna watu waliwahi kukumbana na shida ya kuondokewa na ndugu yao katika mazingira yaliyoacha shaka kubwa kama ambavyo imetutokea sisi na wakafanikiwa kumrejesha mpendwa wao.

Tafadhali naomba usikejeli kwa maana hayajakutokea na kumbuka hujafa hujaumbika, ni bora ukae kimya kuliko kutukana au kukejeli.

Naomba niwakaribishe PM au kwenye comments🙏🏾
"Tukuretee Gwsjima?"
 
Salamu kwenu jukwaa!

Kama maada inavyosema, sijaleta kichekesho ila nimeleta shida mbele yenu wana-jukwaa. Tanzania ni nchi kubwa sana na ninaamini kuna watu waliwahi kukumbana na shida ya kuondokewa na ndugu yao katika mazingira yaliyoacha shaka kubwa kama ambavyo imetutokea sisi na wakafanikiwa kumrejesha mpendwa wao.

Tafadhali naomba usikejeli kwa maana hayajakutokea na kumbuka hujafa hujaumbika, ni bora ukae kimya kuliko kutukana au kukejeli.

Naomba niwakaribishe PM au kwenye comments🙏🏾
Wewe unaleta upumbafu wako huku! Mtu kafa na kuzikwa eti mnamtaka tena bwege wewe
 
Sijui kama hapa kuna medium. My suggestion,chukua kitu chochote cha mtu aliyekufa,kiweke katikati ya kiganja cha mkono,at the centre of the palm,fumba macho,halafu tazama picha gani zinatokea kwenye mental screen. It is called psychometry.
Ok Asante sana.
 
Hii ilikuwa mshughulike akiwa bado anaumwa, sijajua kama ni watu wanakuwa wamefungwa kimawazo? Mara nyingi, wengi huwa wanakuja kushtuka baada ya mtu kuwa amefariki.
Na hii inasababishwa na jamii zetu kutokuwa na umoja katika uuguzaji, ambao ungewezesha kudadisi tatizo, kabla ya hitimisho.
Kwa ushauri tu; usihangaike na hili jambo,litakutesa.​
hapo umeongea ukweli haswa, kwangu najishangaa kwanini sikuhangaika, na umoja haukuwepo kabisa, ugonjwa ulikuwa kama ni siri wakati kulikua hakuna sababu ya usiri, nilio wategemea wangeweza hawakufanya lolote, nimkuja shanga amtua na fariki ,matokeo yake nina hangaika sasa hivi.
 
Pole Sana mkuu.. maumivu ya kufiwa na mtu unaye mpenda hayana mfano!
Lakini kubali tu ukweli ..hakuna jinsi ...Mimi binafsi Hali hii imenichukua miaka kuikubali.. yaani nilifikia kuumwa karibia kufa!

Utasumbuka Sana .. mshukuru Mungu .tu.

Huwezi kujua Mungu amepusha nini na Ana sababu zake kunichukua kiumbe wake.
Ntishika sana napo sikia kwamba hali hii huchukua muda mrefu, ninavyo jisikia sasa ni hali mbaya sana , maumivu nashindwa ya vumilia najribu muomba Mungu anipe wepesi, Asante sana
 
Kitendo cha kumzika kama ni mtu amechukuliwa msukule hawezi kurudi. Cha kufanya huwa kuna mambo yanafanyika huko alipo badala ya kuteswa basi anakufa kwa amani na kurejea kwa muumba wake.

Haya mambo ya kishenzi yapo. Bado watu weusi hatujastaarabika na kuendelea kuukumbatia uchawi.
 
Kitendo cha kumzika kama ni mtu amechukuliwa msukule hawezi kurudi. Cha kufanya huwa kuna mambo yanafanyika huko alipo badala ya kuteswa basi anakufa kwa amani na kurejea kwa muumba wake.

Haya mambo ya kishenzi yapo. Bado watu weusi hatujastaarabika na kuendelea kuukumbatia uchawi.
Daah achaa tuu.. Haya mambo yanaumizaa sanaaa kiukweli ukisikiliza maneno ya watu unaenda kwa MGANGAAA..!! kifo kinaumizaa sanaa..mnooo.
 
Back
Top Bottom