Msaada: Yeyote anayemjua mtaalam anayeweza kumrejesha ndugu yetu aliyefariki kifo cha kutatanisha

Msaada: Yeyote anayemjua mtaalam anayeweza kumrejesha ndugu yetu aliyefariki kifo cha kutatanisha

Celine Dion Hadi kapata ugonjwa unao muua taratibu kisa kashindwa kabisa kukubali mumewe kafa
Kwa sasa namwelewa vizuri sana anacho pitia , ni maumivu makubwa sana haya elezeki kikweli na kukubali mtu unajiona kama una mtelekeza mpendwa wako na abda na tafuta msaada alipo huko .
 
Salamu kwenu jukwaa!

Kama maada inavyosema, sijaleta kichekesho ila nimeleta shida mbele yenu wana-jukwaa. Tanzania ni nchi kubwa sana na ninaamini kuna watu waliwahi kukumbana na shida ya kuondokewa na ndugu yao katika mazingira yaliyoacha shaka kubwa kama ambavyo imetutokea sisi na wakafanikiwa kumrejesha mpendwa wao.

Tafadhali naomba usikejeli kwa maana hayajakutokea na kumbuka hujafa hujaumbika, ni bora ukae kimya kuliko kutukana au kukejeli.

Naomba niwakaribishe PM au kwenye comments[emoji1488]
Tafadhali naomba usikejeli kwa maana hayajakutokea na kumbuka hujafa hujaumbika, ni bora ukae kimya kuliko kutukana au kukejeli.[emoji419][emoji375]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salamu kwenu jukwaa!

Kama maada inavyosema, sijaleta kichekesho ila nimeleta shida mbele yenu wana-jukwaa. Tanzania ni nchi kubwa sana na ninaamini kuna watu waliwahi kukumbana na shida ya kuondokewa na ndugu yao katika mazingira yaliyoacha shaka kubwa kama ambavyo imetutokea sisi na wakafanikiwa kumrejesha mpendwa wao.

Tafadhali naomba usikejeli kwa maana hayajakutokea na kumbuka hujafa hujaumbika, ni bora ukae kimya kuliko kutukana au kukejeli.

Naomba niwakaribishe PM au kwenye comments🙏🏾
Nugu hili jambo linawezekana kabisa 💯 lakini hutaweza vigezo, yupo mtaalamu hizi ndo kazi zake karudisha sana watu Bagamoyo
 
Umenikumbusha mwaka juzi kuna kijana alifariki Arusha kwa mazingira ya kutatanisha wazazi wakaamini mtoto wao amechukuliwa msukule siku ya maziko wakaleta mtaalamu akasema anaweza kumfufua marehemu mtaalamu alipambana kuanzia saa nane mpaka saa kumi na mbili bila kumfufua marehemu wananchi wenye hasira kali walimtembezea kichapi kikali sana kwa ile fedhea.Ndugu nakushauri kubali amefariki kila nafsi itaonja mauti

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Nina connection ya dr. kutoka DRC huwa anakuja tz kwa maelekzo ya kazi maalum,
Kukupa connection yake uwe na 1.1m
Jipange tu mtaenda na mtaalam mlipomzika huyo mpendwa wenu,
Atamfufua na kisha ninyi wote pamoja na marehem mfufuka mtarudi maskani mkiwa mnapiga stori kama kawaida.
 
Mimi mzee wangu aliumwa na kila nilikopita niliambiwa kachukuliwa msukule,nilipambana huku na huku hadi leo yupo hai ingawa bado hajatulia sawa sawa!
 
Mimi mzee wangu aliumwa na kila nilikopita niliambiwa kachukuliwa msukule,nilipambana huku na huku hadi leo yupo hai ingawa bado hajatulia sawa sawa!
Haya mambo yapo, mimi kuna mtu nilimuoana alikufa akiwa kijana mdogo , bahati nzuri mwenye familia alikuwa mganga na hakuwepo hvyo akawaambia wasizike kwanza. Aliporudi akafanya mafekechee hadi marehemu akaamka japo ilichukua kama siku 3 hv.
Yule marehemu amefariki juzi tu hapa akiwa mzee kabisaaaa.! Japo hakuwa sawa hata kuongea ilimchukua miaka kunyoosha maneno.!
 
Nyie kwenda makaburini kutoa heshima na salamu mnafanya!!lakini wao wakitokea hapo kuja kuwasalimia mnakimbia kidogo mfe
 
Hivi matajiri mbona siskii wakufanzwa misukule au kuwangiwa??ni huku maskini tuu
 
Zimepita siku 7?

Kuna mwamba namjua, tatizo ni kwamba hii issue umeamua mwenyewe au mmekubaliana ndugu?

Una hakika akija mtu ambae mlimzika mtaweza kuishi nae?

Kuna possibility akija haji peke yake maana mnakua mmefungua mlango wa kuzimu anaweza kuja na kikosi.

Naomba jifikirie kwanza.
kikosi kinatoka mkuu, hebu nielimishe
siku saba zikipita inakuwaje au kama hazijapita inakuwa vipi sasa
 
Kufufula anaweza kama kachukuliwa kichwani,,hata juzjuzi kile kugoma na geita waliwaona watu walokufa miaka 2 iliyopita..Ila anakutwa huko mbali labda anafanya kilimo na wala hakumbuki kwao
 
Back
Top Bottom