Mungu hawezi kumsaidia hapa mkuu,Dah!! Yaani mijitu mingine jamani [emoji30] ukikamata hayo nikupiga kipigo Cha mbwa koko pumbavu kabisa mxieww... Mungu akusaidie wajulikane
hahahahahahaMungu hawezi kumsaidia hapa mkuu,
Wa kumsaidia ni mwanadamu.
Kama anabisha ampelekee mungu hizi picha aone kama atasaidiwa.
Pamoja na kuwa inaonyesha tarehe, lakini mimi nimechunguza nimegundua kuwa hiyo ilinaswa SEPTEMBA 2017 kule DODOMA!Pamoja na kwamba Picha za cctv hazionyeshi vizuri na kwamba wamejifunika na kofta ila kama unawafahamu utawafahamu tu zawadi nono itatolewa asanteniView attachment 2078242
Mbona anaonekana ni mtu mpole wala hana nia mbaya kwana ameshika kitambaa cheupe ishara ya upendo.Pamoja na kwamba Picha za cctv hazionyeshi vizuri na kwamba wamejifunika na kofta ila kama unawafahamu utawafahamu tu zawadi nono itatolewa asanteniView attachment 2078242
Nimebajatika kupata picha za tukio asante kwa kukumbukaMzee inakuaje wewe ni mtu wa kuibiwa ibiwa sana?
Kama nakumbuka wewe ushawahi weka kipicha fulani cha Pajero nyeupe iliyoibwa...leo tena uzi mwingine wa kupigwa tukio...
Kuna shida mahali...
Nimebajatika kupata picha za tukio asante kwa kukumbuka
Hii picha ni ya tukio la pajero mkuu ...ndiyo nimebahatika kuipata kwa camera ya jiraniHujajibu swali mkuu...inakuaje unaibiwa mara kwa mara?
Jichunguze isijekuwa una watu wa karibu yako wasio sahihi? Au unaexpose sana maisha yako n.k
Kweli boss ila huyu tutampeleka mahakama salama.Ushahidi wa kutumia CCTV hata kule mahakamani kwenye kesi ya Sabaya unasumbua watu.
Hapo kama mtu anamfahamu huyo muhalifu atamtambua licha ya hiyo kofia aliyovaa, na sura yake kwa mbali inaonekana, tatizo ni pale utakapotakiwa kuthibitisha bila kuacha shaka, ndio kazi itapoanzia.
Mbona anaonekana ni mtu mpole wala hana nia mbaya kwana ameshika kitambaa cheupe ishara ya upendo.
Bahari beach kuna uzi mwingine nimeweka video labda mods watanisaidia kuunganisha...ni kundi la vijana takriban nane wana silaha za jadi pia za moto wanavamia nyumba asubuhi na mchanaTukio limetokea maeneo gani hapa nchini???
PoleniBahari beach kuna uzi mwingine nimeweka video labda mods watanisaidia kuunganisha...ni kundi la vijana takriban nane wana silaha za jadi pia za moto wanavamia nyumba asubuhi na mchana