Swali langu ni kwamba
1.Ndani ya hiyo nyumba hakukuwa na kamera nyingine iliyowanasa vizuri?,maana naona ni kamera ya nje tu.
2.Jaribu kueleza ni nini kimetokea,unaposema arm robbery pasipo kueleza kiundani unatuacha na maswali!.
3.Nadhani kuleta huu uzi hapa ni kuhitaji msaada,sasa wewe unafichaficha habari unataka msaada upi?
Kwa kifupi ni kwamba hao watu mnafahamiana nao na ndiyo maana hutaki kueleza ukweli unaficha ficha,hiyo kamera inaonyesha kabisa wanakufahamu na hapo kama ni kwako wamekuja wakiwa na ramani kamili.