klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
hako ka dadaako kalikoachwa vipi kanalipa au fitina tu?Hehehe nilitaka usapoti kwanza kabla sijatoa ombi rasmi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hako ka dadaako kalikoachwa vipi kanalipa au fitina tu?Hehehe nilitaka usapoti kwanza kabla sijatoa ombi rasmi!
unachafua CV ya mheshimiwa, nitakata huduma muhim ujue ,wee endelea tua.Kama uko tayari kubeba mzigo hua changamka mama...ila tahadhari..Kloro anafit kwenye vifungu vyote vya wanaume wa kukwepwa!
wee nibebe tu mama. kwetu familia nzima waaminifu, mpaka faza wangu wa kambokwa hiyo unaniruhusu nimchukue maana naona tunamatch sisi hatuwi avoided
halaf huyu lizzy inaonekana wazee wake wanajiproud kweli kwamba mtoto wao kajiunga JF na anapost sred jukwaa la MMU. sifafanui zaidi ya hapa
Rafiki yangu pamoja na Liz kunikataa lakini siwezi kubali umfanye hivi slow down bana.halaf huyu lizzy inaonekana wazee wake wanajiproud kweli kwamba mtoto wao kajiunga JF na anapost sred jukwaa la MMU. sifafanui zaidi ya hapa
Orait!WL mchukue Kloro...najua sifa zake japo sio nzuri sana bado analipa!
wakikasifu ka lizzy kao wanasema! kamefeli form 2, lakini kana akili kweli kameamua kujiendeleza JF. miahahahaha,,ongeza tu ila usisahau kuwa wanasema kabinti kao ndo kamod au invisible kabisa,,,lol!kumbe kanatupa kazi ya kukasaidia mpaka usiku huu
dah! kamanda naona umeamua kuja na gia mpya! greti thinka nimekuelewa bana! acha niachie accelarator.Rafiki yangu pamoja na Liz kunikataa lakini siwezi kubali umfanye hivi slow down bana.
Nafahamu utoto unakusumbua na mwishowe utakuja kwangu wala sina wasiwasi nafasi yako ipo wazi I'LL BE WAITIN FOR YA.Hivi Uporoto ikitokea nimeachwa nikaja kwako utanipokea?Maana unanijali sana!Mpaka raha!
Fanya dkk 5 kabisa maana CV yake sio mchezo!
hilo ni tego bana! na ole wako ujibu PM ya uporoto. hakyanani naachana na JF.Hivi Uporoto ikitokea nimeachwa nikaja kwako utanipokea?Maana unanijali sana!Mpaka raha!
Kloro asante kwa analisis na konklusheni iliyosimama!Yuu aa ze besti!Sasa mchango wako utakuwepo?Eti jamani kama msichana amewahi kuwa na mtu alafu wakaachana...huyo kaka akija kumuoa dada wa msichana ni sawa?Hapo wote wanajua na wameridhia sio kinyemela!