Msaada!

Msaada!

a.Kama uko tayari kubeba mzigo hua changamka mama...ila tahadhari..Kloro anafit kwenye vifungu vyote vya wanaume wa kukwepwa!
unachafua CV ya mheshimiwa, nitakata huduma muhim ujue ,wee endelea tu
 
halaf huyu lizzy inaonekana wazee wake wanajiproud kweli kwamba mtoto wao kajiunga JF na anapost sred jukwaa la MMU. sifafanui zaidi ya hapa

hahahaha,,ongeza tu ila usisahau kuwa wanasema kabinti kao ndo kamod au invisible kabisa,,,lol!kumbe kanatupa kazi ya kukasaidia mpaka usiku huu
 
halaf huyu lizzy inaonekana wazee wake wanajiproud kweli kwamba mtoto wao kajiunga JF na anapost sred jukwaa la MMU. sifafanui zaidi ya hapa
Rafiki yangu pamoja na Liz kunikataa lakini siwezi kubali umfanye hivi slow down bana.
 
Orait!WL mchukue Kloro...najua sifa zake japo sio nzuri sana bado analipa!

lizzy huyu kloro nna wasiwasi kama yuko kny wale wakukwepa itanipa shida,,hebu niombe kwa dk 3 ntajua
 
Rafiki yangu pamoja na Liz kunikataa lakini siwezi kubali umfanye hivi slow down bana.
Hivi Uporoto ikitokea nimeachwa nikaja kwako utanipokea?Maana unanijali sana!Mpaka raha!
 
hahahaha,,ongeza tu ila usisahau kuwa wanasema kabinti kao ndo kamod au invisible kabisa,,,lol!kumbe kanatupa kazi ya kukasaidia mpaka usiku huu
wakikasifu ka lizzy kao wanasema! kamefeli form 2, lakini kana akili kweli kameamua kujiendeleza JF. mia
 
habari zenyu za mida hii wapendwa!
napita tu, naendelea kuvuta shuka langu vizuri hapa!
 
wakikasifu ka lizzy kao wanasema! kamefeli form 2, lakini kana akili kweli kameamua kujiendeleza JF. mia
Na harakati za kugombea umod ambao ni sawa na ubunge nimeshawajulisha!
 
Hivi Uporoto ikitokea nimeachwa nikaja kwako utanipokea?Maana unanijali sana!Mpaka raha!
Nafahamu utoto unakusumbua na mwishowe utakuja kwangu wala sina wasiwasi nafasi yako ipo wazi I'LL BE WAITIN FOR YA.
 
naomba kukumbushwa hii sred lizzy alitaka nini jamani ili nilale,,,,:sleepy:
 
Kloro asante kwa analisis na konklusheni iliyosimama!Yuu aa ze besti!Sasa mchango wako utakuwepo?
Eti jamani kama msichana amewahi kuwa na mtu alafu wakaachana...huyo kaka akija kumuoa dada wa msichana ni sawa?Hapo wote wanajua na wameridhia sio kinyemela!

...connecting the d.o.t.s...!
Sawa 'dada'ke!' :A S 41:
 
Back
Top Bottom