Kwani kuwa wapenzi ni lazima mfanye mapenzi?kama hamfanyi mapenzi mmekuwaje wapenzi?
duuuu,jamani w.me attention muhimu kwa mpenzi wako.w.ke vijimaneno vya mapenzi tu,vinaturidhisha na kutufanya tuwe kwenye mudi nzuri.leo hii unamchukulia mwenzio kama rafiki tu,haifai.kuweni romantic.pole mwaya,huyo mtu inaonyesha ata ku control tu,akuwekee yeye masharti,wakati yeye mwenyewe hakutimizii ya kwako.utaishia kuumizwa tu,na suala la kubadili dini,ni kitu kikubwa sana
tulikuwa tunafanya lakin miez 4 iliyopita et anasema ni dhambi
tulikuwa tunafanya lakin miez 4 iliyopita et anasema ni dhambi
dada pole sana, ongea nae na mwambie yanayokukera, kuna watu wengine hata km wanakupenda hawezi kukuambia i love u, inakuwa moyon mwake tu, utafit unaonyesha kuwa wale ma 'gwiji' wa ku chit ni wepes sana kutoa maneno ya kiromantik ili kuwanasa! Ila wale ambao hawachit huwa wagumu sana kusema i love u! Msome huyo jamaa yakn km kwel ana filin na ww