Kila chuo kina utaratibu wake kwa hiyo ingia kwenye website zao ila kwa ujumla,
1,nakala zako za vyeti vya shule(original)
2,kitambulisho chako(cha kura au leseni ya udereva au cha mkazi)
3,risiti ya ada uliolipa(Kama huna mkopo kabisa au kwa asilimia mia)
4,kuna fomu za kusajiliwa mwanafunzi mpya,ipo kwenye website za chuo