Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila chuo kina utaratibu wake kwa hiyo ingia kwenye website zao ila kwa ujumla,
1,nakala zako za vyeti vya shule(original)
2,kitambulisho chako(cha kura au leseni ya udereva au cha mkazi)
3,risiti ya ada uliolipa(Kama huna mkopo kabisa au kwa asilimia mia)
4,kuna fomu za kusajiliwa mwanafunzi mpya,ipo kwenye website za chuo