Bila picha huu ni umbea tuMsafara wa Mbowe haupungui gari ishirini za nguvu. Tunatarajia chama chetu kiwe mfano wa kubana matumizi, lakini hali halisi ni tofauti.
Sasa tukiingia madarakani itakuwaje? Sitashangaa tutakuwa na msafara wa gari hamsini au zaidi, wananchi wataendelea kuumia.
Sisi sio wanyongeMsafara wa Mbowe haupungui gari ishirini za nguvu. Tunatarajia chama chetu kiwe mfano wa kubana matumizi, lakini hali halisi ni tofauti.
Sasa tukiingia madarakani itakuwaje? Sitashangaa tutakuwa na msafara wa gari hamsini au zaidi, wananchi wataendelea kuumia.
Wewe ni nani zaidi ya kikaragosi cha mafisadi wa CCM! Endelea kulamba matako ya mabwana zako!Chadema nacho chama?. Hiyo ni saccos ya mjasiriamali Mbowe , inayotamani kupata ridhaa kwa watanzania. Mungu yupo, na hatakubali nchi hii iangukie mikononi mwa walamba asali.
AKILI NDOGO UKIKUWA NA AKILI UNGEANZA NA WABUNGE FAKEN19 WANALIPWA KODI ZA MASIKINIMsafara wa Mbowe haupungui gari ishirini za nguvu. Tunatarajia chama chetu kiwe mfano wa kubana matumizi, lakini hali halisi ni tofauti.
Sasa tukiingia madarakani itakuwaje? Sitashangaa tutakuwa na msafara wa gari hamsini au zaidi, wananchi wataendelea kuumia.
Kwani hiyo ya chadema siyo pesa za wanachama? Au siku hizi mna miradi ya kibiashara ya kuwaingizia kipato?Misafara inayolitia hasara Taifa ni ile ya MaV8 kusema na ule ukweli.
Chadema haina wapuuzi sampuli yakoSijawahi kufukuzwa au kusimamishwa uanachama wa Chadema, Mimi pipoz mpaka kwenye damu
I see!Msafara wa Mbowe haupungui gari ishirini za nguvu. Tunatarajia chama chetu kiwe mfano wa kubana matumizi, lakini hali halisi ni tofauti.
Sasa tukiingia madarakani itakuwaje? Sitashangaa tutakuwa na msafara wa gari hamsini au zaidi, wananchi wataendelea kuumia.
sio gari 50 na helkopter juu kama 5Msafara wa Mbowe haupungui gari ishirini za nguvu. Tunatarajia chama chetu kiwe mfano wa kubana matumizi, lakini hali halisi ni tofauti.
Sasa tukiingia madarakani itakuwaje? Sitashangaa tutakuwa na msafara wa gari hamsini au zaidi, wananchi wataendelea kuumia.
kinachoangaliwa ni picha halisi ya msafara hata kama kuna gari binafsi za watu waliojitolea wananchi hilo hawalijui .mwishon watasema tuKwani wanaoingia kwenye msafara wamelazimishwa wajiunge na msafara au wamependa wenyewe. Unaelekea kukosa hoja na uache wivu na chuki binafsi.
Wabongo hamna dogoMsafara wa Mbowe haupungui gari ishirini za nguvu. Tunatarajia chama chetu kiwe mfano wa kubana matumizi, lakini hali halisi ni tofauti.
Sasa tukiingia madarakani itakuwaje? Sitashangaa tutakuwa na msafara wa gari hamsini au zaidi, wananchi wataendelea kuumia.
Wewe ndio afisa masuhuri wa chama au unaandika kwakua unadhani hivyo! Umri wako na uchanga wa akili unachngia kwa kiasi kikubwa katika kile unachoandika.Gharama zote ni za chama, hapo Kuna upigaji na udalali mwingi
Kubana matumizi Huwa ni porojo za kudanganya wajinga ,hata kusema mashangingi mbona hawatembelei kirikuu? 🤣🤣Msafara wa Mbowe haupungui gari ishirini za nguvu. Tunatarajia chama chetu kiwe mfano wa kubana matumizi, lakini hali halisi ni tofauti.
Sasa tukiingia madarakani itakuwaje? Sitashangaa tutakuwa na msafara wa gari hamsini au zaidi, wananchi wataendelea kuumia.
Acha ujinga viongozi wote wa kuu wako kwenye msafara na ni lazimaKwani wanaoingia kwenye msafara wamelazimishwa wajiunge na msafara au wamependa wenyewe. Unaelekea kukosa hoja na uache wivu na chuki binafsi.