Msafara mrefu wa magari ziara za Mbowe ni kufuru, Chama kifanye mapitio

Msafara mrefu wa magari ziara za Mbowe ni kufuru, Chama kifanye mapitio

Msafara wa Mbowe haupungui gari ishirini za nguvu. Tunatarajia chama chetu kiwe mfano wa kubana matumizi, lakini hali halisi ni tofauti.

Sasa tukiingia madarakani itakuwaje? Sitashangaa tutakuwa na msafara wa gari hamsini au zaidi, wananchi wataendelea kuumia.
Mimi nadhani msafara wa magari 20 sio mkubwa. Tujikite kuwajibu Hoja zao, Haya madogo yasitupotezee muda.
 
Msafara wa Mbowe haupungui gari ishirini za nguvu.
Whats magari 20? Am sure ambayo yapo fuelled na pesa za chama hayazid 6. Unlike ule msafara ya Chongolo ambao magari yote 70 yanakuwa fuelled na kodi za wananchi. Huwez kiniambia DEDs, DCs na DASs + wakuu wa idara na Taasisi zingine wanakuwa fuelled na CCM. We knw you bro!!
 
Mimi nadhani msafara wa magari 20 sio mkubwa. Tujikite kuwajibu Hoja zao, Haya madogo yasitupotezee muda.
Wao yule Mzee wa ushuda alisema msafara wa raisi unatumia magari mengi, ndio maaana na Leo tunajibu hoja hiyo ya kiongozi wenu ambapo na nyiee hili limewakuta na mkiwa hamjapata ata Jimbo mojaa,
 
Msafara wa Mbowe haupungui gari ishirini za nguvu. Tunatarajia chama chetu kiwe mfano wa kubana matumizi, lakini hali halisi ni tofauti.

Sasa tukiingia madarakani itakuwaje? Sitashangaa tutakuwa na msafara wa gari hamsini au zaidi, wananchi wataendelea kuumia.
Weka picha Chinembe. Acha sound
 
Usiwe mjinga, je unafahamu ni viongozi wangapi wamehusika katika uzinduzi wa mikutano hiyo?

Kwa akili yako unataka viongozi zaidi ya 20 wapande shangingi moja! Kumbuka wako viongozi wa kitaifa, kanda, mkoa na wilaya husika!
Unaongelea wingi wa viongozi wa chama cha siasa CHADEMA kukutanika au wingi wa magari yao au wingi wa magari ya chama chao au wingi wa magari ya serikali au kitu gani??!

Usiwe kama mbegu za papai....unanata na kuteleza kwa wakati mmoja, utagongwa
 
Msafara wa Mbowe haupungui gari ishirini za nguvu. Tunatarajia chama chetu kiwe mfano wa kubana matumizi, lakini hali halisi ni tofauti.

Sasa tukiingia madarakani itakuwaje? Sitashangaa tutakuwa na msafara wa gari hamsini au zaidi, wananchi wataendelea kuumia.
Hakuna chama hapo, utamaduni wa watanzania ni uleule tu. Siamini kunaweza mabadiliko yoyote katika maisha ya watu eti kwa sababu ya chama hiki.
 
Mleta mada kumbuka kuwa;
hakuna gari za serikali hapo!
hakuna mafuta kuwekwa na serikali!
hakuna watu wanaolipwa per diem na serikali!
watu kwa mapenzi yao wanajitolea!
kakojoe ukalale!
 
Sijui wale askari waliomnyanyasa Mbowe wanajisikiaje, unamnyanyasa mtu ambae hata ukistaafu huwezi mfikia pesa
 
Msafara wa Mbowe haupungui gari ishirini za nguvu. Tunatarajia chama chetu kiwe mfano wa kubana matumizi, lakini hali halisi ni tofauti.

Sasa tukiingia madarakani itakuwaje? Sitashangaa tutakuwa na msafara wa gari hamsini au zaidi, wananchi wataendelea kuumia.
Hawa watu kama matumizi yao yako hivi; naomba sana wajenge angalau darasa moja tu la shule ya msingi; naomba sana
 
Msafara wa Mbowe haupungui gari ishirini za nguvu. Tunatarajia chama chetu kiwe mfano wa kubana matumizi, lakini hali halisi ni tofauti.

Sasa tukiingia madarakani itakuwaje? Sitashangaa tutakuwa na msafara wa gari hamsini au zaidi, wananchi wataendelea kuumia.
Hayo ni magari na gharama za watu binafsi.Wadau wamejitolea si fedha serikali.
 
Akienda na gari mbili mnasema wenzake wamemsusia Chama
Watu mengine wamejawa wivu tu kwani magari yote yamesajiliwa CHADEMA? Hata nikiwa la kwangu nnikafuata nyuma na ninafahamika na chama si sawa tu?
 
Watu mengine wamejawa wivu tu kwani magari yote yamesajiliwa CHADEMA? Hata nikiwa la kwangu nnikafuata nyuma na ninafahamika na chama si sawa tu?
Acha wapate vya kuongea ili vifo vitokanavyo na stress vipungue
 
Back
Top Bottom