Naona ume summarise yotePolicc wapumbavu sana awajitambui pia Hassan mwinyi akufaa kugombea urais smz pia bashite swala la uchebe nikiki tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona ume summarise yotePolicc wapumbavu sana awajitambui pia Hassan mwinyi akufaa kugombea urais smz pia bashite swala la uchebe nikiki tu.
sababu ni kurudisha fomu kwa mbwembwe, malizia kichwa cha habariMsafara wa aliyekuwa Mbunge wa Viti maalum Catherine Ruge wa CHADEMA Mkoani Mara umezuiliwa kwa kupigwa Mabomu na Jeshi la Polisi Wilayani Serengeti kipindi akirejesha fomu ya Kuwania Ubunge Jimbo la Serengeti.
View attachment 1502720
amkeni ukanda huo, jino kwa jino, piga ambush usiku, toa funzo kwa kijani wote na tawi lao la mabunduki
Polisi wote ni division zero . form four failurePolicc wapumbavu sana awajitambui pia Hassan mwinyi akufaa kugombea urais smz pia bashite swala la uchebe nikiki tu.
mpumbavu kamwambie mama yako upuuzi huo. waambie na chama chako wafuate taratibu pia. Fair play.Tufuate taratibu jamani ili kuepuka sintofahamu zisizokuwa na ulazima.
Ili iweje?Una umri gani ?
Msafara wa Nini Sasa wakati kampeni bado?Msafara wa aliyekuwa Mbunge wa Viti maalum Catherine Ruge wa CHADEMA Mkoani Mara umezuiliwa kwa kupigwa Mabomu na Jeshi la Polisi Wilayani Serengeti kipindi akirejesha fomu ya Kuwania Ubunge Jimbo la Serengeti.
View attachment 1502720
Kasome tenaKichwa cha habari Esther matiko...habari yenyewe Catherine Ruge
Weka sawa hapo
Kasome tenaKichwa cha habari Esther matiko...habari yenyewe Catherine Ruge
Weka sawa hapo
Kama ni wapiga dili uraian wanafanya nnWapigwe tu tumeshawachoka maana wote wapiga madeal tu pumbavu
Kwani kna shida ganiMambo mengine ni ya kis*ng* kweli hiyo unayorudisha ni form ya chama chako mikelele kibao na vurugu, bado NEC haijatoa ratiba yoyote ya uchaguzi mwaka huu,
Sasa ingekuwa unarudisha form ofisi ya jimbo si ungetembea na chupi kichwani.
Chapa kabisa hao ndio wanaturetea vurugu, kwanza chama chako bado hakijakuteua
Hii kauri ya kipumbavu ni ya kibinti furani cha Mlowo Mbozi, hiki kibinti kijeuri na fedhuri sana huewezi aminini.Mambo mengine ni ya kis*ng* kweli hiyo unayorudisha ni form ya chama chako mikelele kibao na vurugu, bado NEC haijatoa ratiba yoyote ya uchaguzi mwaka huu,
Sasa ingekuwa unarudisha form ofisi ya jimbo si ungetembea na chupi kichwani.
Chapa kabisa hao ndio wanaturetea vurugu, kwanza chama chako bado hakijakuteua
Vipi mumeo hajambo??!Mambo mengine ni ya kis*ng* kweli hiyo unayorudisha ni form ya chama chako mikelele kibao na vurugu, bado NEC haijatoa ratiba yoyote ya uchaguzi mwaka huu,
Sasa ingekuwa unarudisha form ofisi ya jimbo si ungetembea na chupi kichwani.
Chapa kabisa hao ndio wanaturetea vurugu, kwanza chama chako bado hakijakuteua
Taratibu gani?Tufuate taratibu jamani ili kuepuka sintofahamu zisizokuwa na ulazima.
za kutembea taratibu.Taratibu gani?