mr chopa
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 5,297
- 13,678
Acha kumkejeli MUNGU, MUNGU hawezi kutoa baraka kwa wafuasi wa shetani aka kizazi Cha [emoji216]Mungu ibariki Chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kumkejeli MUNGU, MUNGU hawezi kutoa baraka kwa wafuasi wa shetani aka kizazi Cha [emoji216]Mungu ibariki Chadema
Nadhani wamzungumzia yule mungu wenu aliekubali kushauriwa kumshukuru ze Jiwe. Huyo ndie anaongozwa na mitizamo ya hila, visasi, ukatili, ukandamizaji wa ze JiweAcha kumkejeli MUNGU, MUNGU hawezi kutoa baraka kwa wafuasi wa shetani aka kizazi Cha [emoji216]
Habari ndio hiyo bwasheeNadhani wamzungumzia yule mungu wenu aliekubali kushauriwa kumshukuru ze Jiwe. Huyo ndie anaongozwa na mitizamo ya hila, visasi, ukatili, ukandamizaji wa ze Jiwe
Mambo mengine ni ya kis*ng* kweli hiyo unayorudisha ni form ya chama chako mikelele kibao na vurugu, bado NEC haijatoa ratiba yoyote ya uchaguzi mwaka huu,
Sasa ingekuwa unarudisha form ofisi ya jimbo si ungetembea na chupi kichwani.
Chapa kabisa hao ndio wanaturetea vurugu, kwanza chama chako bado hakijakuteua
Catherine rugemalila mhaya watu wa mara mumekosa mzawa Hadi mhaya Catherine Ruge agombee ? Chadema tafuteni mgombea mzawa
Hivi kwanini poliCCM hawataki wengine wafanye siasa?
Sasa msafara na kampeni unaona ni sawaMsafara wa Nini Sasa wakati kampeni bado?
Kwani msafara ni kosaIla nae sasa amezidi..hadi kurudisha fomu nako msafara?..ulikua una ulazima gani?
UmepanicPolicc wapumbavu sana awajitambui pia Hassan mwinyi akufaa kugombea urais smz pia bashite swala la uchebe nikiki tu.
Acha ubaguzi, ukabila wa mini tanzaniaCatherine rugemalila mhaya watu wa mara mumekosa mzawa Hadi mhaya Catherine Ruge agombee ? Chadema tafuteni mgombea mzawa
Ni binti yangu naomba umsamehe ana miaka 13 then ana mimba changa.....Una umri gani ?
Kuwapiga ni kuwajenga, kuwakamata ni kuwazoeza kukamatwa,Wapigwe tu tumeshawachoka maana wote wapiga madeal tu pumbavu
@Sintah wewe, macho yako ni kwa Juma Nature tu, hapo ngumu kuona!!Mabomu yako wap? mbna naona picha ya wapita njiaa tuu na cruiser ya police
Msafara wa aliyekuwa Mbunge wa Viti maalum Catherine Ruge wa CHADEMA Mkoani Mara umezuiliwa kwa kupigwa Mabomu na Jeshi la Polisi Wilayani Serengeti kipindi akirejesha fomu ya Kuwania Ubunge Jimbo la Serengeti.
View attachment 1502720
Tufuate taratibu jamani ili kuepuka sintofahamu zisizokuwa na ulazima.
This is wrongSasa msafara na kampeni unaona ni sawa