Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili la kufanywa mtakatifu mimi silifagilii kama mkatoliki.Mkuu Maalim Mohammed Said, asante kwa kumbukumbu mujarab za huyu Mwalimu Nyerere ambaye ndie Muasisi wa Taifa letu na Baba pekee wa taifa hili.
Sisi Wakristu Wakatoliki, tuko kwenye mchakato wa canonization ili Mwalimu Nyerere ili atangazwe Mwenye Heri na baadae atangazwe Mtakatifu.
P
Kwa huu uchokozi sidhani kama atakujibu.Mkuu Maalim Mohammed Said, asante kwa kumbukumbu mujarab za huyu Mwalimu Nyerere ambaye ndie Muasisi wa Taifa letu na Baba pekee wa taifa hili.
Sisi Wakristu Wakatoliki, tuko kwenye mchakato wa canonization ili Mwalimu Nyerere ili atangazwe Mwenye Heri na baadae atangazwe Mtakatifu.
P
Haha, ngoja arudi.Mkuu Maalim Mohammed Said, asante kwa kumbukumbu mujarab za huyu Mwalimu Nyerere ambaye ndie Muasisi wa Taifa letu na Baba pekee wa taifa hili.
Sisi Wakristu Wakatoliki, tuko kwenye mchakato wa canonization ili Mwalimu Nyerere ili atangazwe Mwenye Heri na baadae atangazwe Mtakatifu.
P
Kuna uchokozi gani?Kwa huu uchokozi sidhani kama atakujibu.
PMkuu Maalim Mohammed Said, asante kwa kumbukumbu mujarab za huyu Mwalimu Nyerere ambaye ndie Muasisi wa Taifa letu na Baba pekee wa taifa hili.
Sisi Wakristu Wakatoliki, tuko kwenye mchakato wa canonization ili Mwalimu Nyerere atangazwe Mwenye Heri na hatimaye awe Mtakatifu.
P
May Day,Kwa huu uchokozi sidhani kama atakujibu.
P,Kuna uchokozi gani?.
Jee Mwalimu Nyerere sio muasisi wa taifa hili?.
Sio Baba pekee wa Taifa?.
Hafanyiwi canonization?.
Uchokozi hapo ni upi?.
P
Stroke,Haha, ngoja arudi.
Yan Nyerere huyu mswahil tu tunayemjua mumfanye awe mtakatifu? Katoliki sijui mpoje?Mkuu Maalim Mohammed Said, asante kwa kumbukumbu mujarab za huyu Mwalimu Nyerere ambaye ndie Muasisi wa Taifa letu na Baba pekee wa taifa hili.
Sisi Wakristu Wakatoliki, tuko kwenye mchakato wa canonization ili Mwalimu Nyerere atangazwe Mwenye Heri na hatimaye awe Mtakatifu.
P
Gagnija,Mtaa mzima bila meza isipokuwa kwa Kleist, nimeipenda hiyo.
Mkuu Maalim Mohammed Said, asante kwa kumbukumbu mujarab za huyu Mwalimu Nyerere ambaye ndie Muasisi wa Taifa letu na Baba pekee wa taifa hili.
Sisi Wakristu Wakatoliki, tuko kwenye mchakato wa canonization ili Mwalimu Nyerere atangazwe Mwenye Heri na hatimaye awe Mtakatifu.
P
Maana atakayotoa ya Mtakatifu ataigemeza kwenye Dini aliyobeba!Mayalla,mayalla unajua maana ya Mtakatifu? Tuanzie hapo
Hapo wapi?!Hapo ndo tunapokwamia kama waTz.
Usichanganye siasa na dini.Hawezi kuwa mtakatifu.Ni mwanasiasa mzuri mpenda watu na mwenye kujali watu ila kuwa mtakatifu hapana Pasco acha hiyo.P,
Hakika yote uliyosema ni kweli tupu.
Yote upo sawa ila la kuwa mwenye kheri na alichokifanya Zanzibar sidhani km anayo sifa hiyo...Mkuu Maalim Mohammed Said, asante kwa kumbukumbu mujarab za huyu Mwalimu Nyerere ambaye ndie Muasisi wa Taifa letu na Baba pekee wa taifa hili.
Sisi Wakristu Wakatoliki, tuko kwenye mchakato wa canonization ili Mwalimu Nyerere atangazwe Mwenye Heri na hatimaye awe Mtakatifu.
P
Nyerere akuwai kuwa mswahili wala akuwa na sifa ya kuwa mswahili. Japo Wazee wetu wa kiswahili ndio wamemfikisha hapo alipo fika...Yan Nyerere huyu mswahil tu tunayemjua mumfanye awe mtakatifu? Katoliki sijui mpoje?
Yan Nyerere awe mtakatifu? Kwahy Wakatolik wamwombe nyerere kama wanavyomwomba Yosef?
Tanzania kazi tunayo ya ziada!
Tusubir kizazi kingine tena baada ya hiki pengine kitakuja okoa hili taifa!
Yan Nyerere kakaa hapo butiama na kufundsha sijui pugu, leo hii umfanye kua mtakatifu mchana kweupe!!..