Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Happy Nyerere Day!.Mkuu Maalim Mohammed Said, asante kwa kumbukumbu mujarab za huyu Mwalimu Nyerere ambaye ndie Muasisi wa Taifa letu na Baba pekee wa taifa hili.
Sisi Wakristu Wakatoliki, tuko kwenye mchakato wa canonization ili Mwalimu Nyerere atangazwe Mwenye Heri na hatimaye awe Mtakatifu.
P
P