Msafara wa Mwalimu Nyerere mitaa ya Gerezani 1970s

Msafara wa Mwalimu Nyerere mitaa ya Gerezani 1970s

Nyerere akuwai kuwa mswahili wala akuwa na sifa ya kuwa mswahili. Japo Wazee wetu wa kiswahili ndio wamemfikisha hapo alipo fika...
Sasa wazee wa kiswahili si walikua na ilim ya dini tu,yeye alikua na masters ya Uingereza mwaka 1958 kwanini asichukue hatamu.
 
Sio rahisi mwanasiasa kuwa mtakatifu, nafikiri file lake lilishafungwa
Mkuu Maalim Mohammed Said, asante kwa kumbukumbu mujarab za huyu Mwalimu Nyerere ambaye ndie Muasisi wa Taifa letu na Baba pekee wa taifa hili.
Sisi Wakristu Wakatoliki, tuko kwenye mchakato wa canonization ili Mwalimu Nyerere atangazwe Mwenye Heri na hatimaye awe Mtakatifu.
P
 
Sasa wazee wa kiswahili si walikua na ilim ya dini tu,yeye alikua na masters ya Uingereza mwaka 1958 kwanini asichukue hatamu.
Sina shida na ilo tatizo langu ni kumwita Mwalim Nyerere ni Mswahili umenielewa hapo kaka Mwalim akuwai kuwa Mswahili wala awezi kuwa na sifa ya kuwa Mswahili...
 
Sasa wazee wa kiswahili si walikua na ilim ya dini tu,yeye alikua na masters ya Uingereza mwaka 1958 kwanini asichukue hatamu.
Atakuwa mtakatifu kwa "ukatoliki" wake achana na hiyo masters ya Uingereza kwa muda huo
 
Hili halina shida
Mkuu Maalim Mohammed Said, asante kwa kumbukumbu mujarab za huyu Mwalimu Nyerere ambaye ndie Muasisi wa Taifa letu na Baba pekee wa taifa hili.
Sisi Wakristu Wakatoliki, tuko kwenye mchakato wa canonization ili Mwalimu Nyerere atangazwe Mwenye Heri na hatimaye awe Mtakatifu.
P
Hili halina shida kabisa muda wa kuwa watakao mtambua kwa utakatifu huo ni "Nyie Wakristu Wakatoliki".
 
Hili halina shida Hili halina shida kabisa muda wa kuwa watakao mtambua kwa utakatifu huo ni "Nyie Wakristu Wakatoliki".
Katika Ukristu dunia nzima, kanisa Kuu, Takatifu la Mitume, ni kanisa moja tuu, Katoliki, Takatifu la Mitume, hivyo Watakatifu wote ni Wakatoliki. Usikute hata Mungu ni ...
naomba nisimalizie nisije nikaparurwa.
P
 
Sina shida na ilo tatizo langu ni kumwita Mwalim Nyerere ni Mswahili umenielewa hapo kaka Mwalim akuwai kuwa Mswahili wala awezi kuwa na sifa ya kuwa Mswahili...
Sifa za uswahili ni zipi? Wewe unazo labda?!
 
Katika Ukristu dunia nzima, kanisa Kuu, Takatifu la Mitume, ni kanisa moja tuu, Katoliki, Takatifu la Mitume, hivyo Watakatifu wote ni Wakatoliki. Usikute hata Mungu ni ...
naomba nisimalizie nisije nikaparurwa.
P
Belittling God the Almighty is sacrilegious. Nenda misa ya jioni ukaungame.
 
Nyerere akuwai kuwa mswahili wala akuwa na sifa ya kuwa mswahili. Japo Wazee wetu wa kiswahili ndio wamemfikisha hapo alipo fika...
Ilikuwa ni lazima Mwalimu afanye kazi na "Waswahili" maana ndio waliokuwepo Dar Es Salaam kwenye kitovu cha nchi na harakati kwa wakati huo, sasa mlitaka awalete Wazanaki Dar?
 
Ukiangalia tu nyendo za Mwalimu ni dhahiri shahiri alikuwa Mtu maalum.
HII NI 1959.
 
Nikaungame kwa kosa gani?, kwa dhambi gani?. Kwa kuusema ukweli kuhusu Ukatoliki?.
P
Kaungame hiyo dhambi ya umauti ya kusema "usikute hata Mungu ni..." Nakushauri tu kama ndugu yako na mkatoliki mwenzako, usije siku moja ukajikuta ukisema laiti ningemsikiliza Gagnija...
 
Kaungame hiyo dhambi ya umauti ya kusema "usikute hata Mungu ni..." Nakushauri tu kama ndugu yako na mkatoliki mwenzako, usije siku moja ukajikuta ukisema laiti ningemsikiliza Gagnija...
Kwa vile sikumalizia, then hakuna liability ya dhambi ya mawazo, japo Kikatoliki hata kuwaza ni dhambi, dhambi hii kwenye ile sala ya kutubu ya "Mungu Wangu, ninatubu sana dhambi zangu kwa mawazo, maneno na matendo, dhambi hizo zinakuwa zimefutwa, na hata usipo tubu na kuungama kwa padri, mwisho wa siku "Tunaokolewa kwa neema na sio kwa matendo".
P
 
Mkuu Maalim Mohammed Said, asante kwa kumbukumbu mujarab za huyu Mwalimu Nyerere ambaye ndie Muasisi wa Taifa letu na Baba pekee wa taifa hili.
Sisi Wakristu Wakatoliki, tuko kwenye mchakato wa canonization ili Mwalimu Nyerere atangazwe Mwenye Heri na hatimaye awe Mtakatifu.
P
eo April 13, ni siku ya kumbukumbu ya miaka 100 ya kuzaliwa Kwa muasisi wa Taifa Letu, Tanzania.

Najiunga na Watanzania wenzangu kuadhimisha siku hii kwa kutembelea mabandiko mbalimbali ya kujikumbusha kuhusu shujaa huyu na Baba wa Taifa Letu.

Wengine wanakuenzi Kwa mawazo, Kwa kuikubali falsafa yako.

Wengine wanakuenzi Kwa maneno Kwa kuzungumzia Kwa mazuri yako.

Na tuko sisi tunaokuenzi Kwa vitendo Kwa kuitekeleza Dira na Dhima yako ya Rushwa ni adui wa haki, sitatoa wala kupokea, hivyo niligombea kuomba kuteuliwa kugombea nafasi fulani bila kutoa hata senti moja, na matokeo yake ni niliambulia patupu.

Pamoja na kutoka kapa Kwa kukuunga mkono Kwa vitendo, bado tutaendelea kukuenzi Kwa mawazo, maneno na vitendo kupitia kwenye kalamu yangu.

Nimalize Kwa swali hili, jee viongozi wetu wa kisiasa, wanamuenzi Mwalimu Nyerere kiukweli ukweli kabisa au wanazuga tuu?.

Happy Birthday Mwalimu Nyerere.
Pascal Mayalla Snr
 
Back
Top Bottom