Msafara wa Raisi (Presidential Motorcade) kukosea njia! Hii imekaaje kiusalama?

Rais alishapotea njia kuongoza nchi siku nyingi.

Hao madereva wanamfuatisha tu style yake.
 
Kwani wewe uko kwenye right track?

Anyway huo ni uzembe wa hali ya juu kwa sababu kila mahali anapoenda kiongozi mkuu waliopo hapo(wenyeji) ndio huwa wanakuwa mbele (police) wakijua wanakokwenda.

Sasa hapo sijui mkuu ndio aliona mahindi ya kuchoma au matikiti akaamua kuwasimamisha mimi sijui maana hata clip imegoma kufinguka kwa na assume tu
 
Siku ikatokea rais akashambuliwa nchini wakuu wa polisi eneo husika na mashushushu wanaofanya kazi eneo husika inatakiwa wapandishwe kizimbani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…