Walikwenda kabla ya Raisi kukaa bashite acha uongoMwanahabari Huru,
Wamekwenda muda gani? Wamekwenda baada ya kuingia Rais au baada ya kuingia Rais?
Viongozi wote isipokuwa Rais kiutaratibu huingia kabla ya kiongozi mkuu wa nchi hajaingia!
Mtu wa mwisho anaye ingia kwenye tukio lolote la kitaifa huwa ni Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania!
Hebu Twambie wao wametaka kuingia muda gani? Wakati Rais kuingia au kabla?
Hivi kweli mko serious mnataka kwenda ikulu? Hamkujua ratiba?
Walifuata ratiba waliyopewaKwani wangeenda saa mbili asubuhi wangepungukiwa nini?
Mwambie baba yako awe na kiasi asije akaharibu ukarimu wa watanzaniaKuna Watu ninawashauri kwa nia njema tu kuwa wawe makini mno kwani kuna Mtu namuona anahutubia ila ana Hasira na Kisununu sana Moyoni.
Waliwahi polisi walipewa maagizo tu sio vizuri kuwanyanyasa watanzania wenzenuMwanahabari Huru,
Nafikiri kwenye hili tuache ushabiki Viongozi wa Chadema wamechelewa kufika uwanjani na walipaswa kukaa presidential Area wangekaaje na je uwanjani wangeingia vp wakati Rais kaishaingia?
Wakubwa sehemu yeyote ambayo kama kuna event mtu wa mwisho kuingia ni Rais ukichelewa kaa mbali tu!
Walifika kabla Raisi hajaingiaKwa hiyo chadema hawajui kuwa Rais ndio huwa wamwisho kuingia kwenye sherehe za kitaifa?
Viongozi wakiwemo mawaziri walifika pamoja naoWangewahi mapema wakati viomgozi wengine wanaingia ingekuwa poa sana.
Kibamia acha dharau na fujo unajuwa walifika mapema ila una spin habariKama ni kuchelelwa.. sawa tu. Balitakiwa kuwahi mapema.. sio kuingia kutafuta kiki..
Ok, kaa wamefika Baada ya viongozi wa nchi, walifanya kusudi, wala hawakuwa na nia ya kuomboleza ila kiki. Maana protocol wanaijua.
Kwanini hawakufika kwa muda uliopangwa? Mbona Maalim alifika na kakaa jukwaa kuu, nyuma tu ya Magu?
Ningependa sana kumuona TL karibu na mbaya wake.
Wengi tu wameingia zaidi watoto wa shule na wana ccm huku wakipiga kelele wakigombea maji na hawakufanywa kituKwani baada ya kuingia rais wananchi hawaruhusi kuingia nyuma yake?
Inabidi wavumilie tu maana wote ni watanzania na walipaswa kushiriki official burial ceremonyKwenye post zangu za jana nilishauri Lissu kutokwenda kwenye huo msiba, ninajua vyema mtazamo wa serekali hii chini ya Magufuli dhidi ya Lisu. Hapo tatizo la kuzuiliwa ni Lisu, na kwa vyovyote vile angeingia hapo uwanjani lazima angeshangiliwa vibaya sana, jambo ambalo lingezua fedheha na Karaha kubwa kwa serikali.
Ni nani asiyejua kuwa Lisu na Magufuli kuwa hawaivi chungu kimoja? Hivi hao viongozi wa Cdm walitarajia serikali na ccm, wangekubali cdm wachukue point za mezani mbele yao?
swali halikuwa la kwako moja kwa moja kuna mdau humu ndo tunaendelea kujadiliana na kujibizana.
jmushi1 relax mkuu..hayo ni maoni ya wadau.Sasa mbona umependa alichosema na wakati wewe ulitakiwa ufahamu msimamo wangu? Sikukupa like yangu kwenye statement yako kama yake kasoro maeneno ya kwenye kanga?
Bashite hajawahi kuwa na utafakari kichwani mwako unachowaza tumbo lako tu yaani chadema iliyopo kila kitongoji mtaa kujiji wilaya mkoa na taifa wakapate political mileage kwenye uwanja uliojaa watoto wa shule wewe acha ngebe za aibuSina shida na hilo Mkuu ila halihitaji Akili Kubwa kujua kuwa kuna Watu walipanga kwenda ili kupata Political Mileage kwa Ujio wa Mgeni Mwenyeji.
Alikuwa Rais hajafikaRais akishaingia mahala Itifaki hairuhusu mtu mwingine kuingia, so hao walitaka kuvunja utaratibu na hivyo ni haki kabisa kuzuiliwa.
KIKI IMEBUMA.Naona utakuwa unaishi Mars.πππ
Mkuu nakuhakikishia, haya mambo sio rahis hivyo, ashapiga mkwara mara ngapi mzee lakin mbona ujio wa TL umetikisa? Kuongoza nchi kwa kutumia nguvu lazima ufeli tu, utaweza kwa muda fulan lakin sio kwa muda wote.Mtu mwenyewe kauzu yule...bora muwe wapole mje mpate hata wabunge watatu bunge lijalo.vinginevyo mtatoka kapa,msijidanganye kwamba kura zenu wananchi zitafanya kazi,never.hui uchaguzi utakuwa kama uteuzi tu.nguvu zote anazo yeye.