Soma juu wametoa taarifa raisi alikuwa hajafikaWalifika baada ya Mhe. Rais kufika au? kama walikuta Rais ameshafika basi ni halali wazuiwe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma juu wametoa taarifa raisi alikuwa hajafikaWalifika baada ya Mhe. Rais kufika au? kama walikuta Rais ameshafika basi ni halali wazuiwe.
Walifika mapema kabla raisi hajafikaWao wangetakiwa waingie mapema sanaa, Ila kwa Sasa Rais amekuwa tayari ameingia na kuhutubia inaleta picha mbayaaa. Anyway tuendelee kusubiri
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Viongozi wa Vyama Vya Siasa, Viongozi wa Dini na Mashirika mbalimbali walitangaziwa kuwa kutakuwa na usafiri wao maalumu toka Karimjee, Ina maana huko itafaki ndio iliandaliwa sio pale uwanjani.Siasa zipi walizofanya? Kwanini wapange foleni ndefu wakati viongozi wa vyama vingine wakiingia bila kupanga foleni? [emoji15][emoji15]
Acha KUKURUPUKA Mkuu.
Lissu ni Mtanzania Mpaka alikuwa rais wa wote waziri Mkuu alituomba wananchi tuende uwanjani na tumeenda so chadema na Lissu kuenda kuaga ni national solidarity hakuna ubayaKumbuka kwamba matukio yote yametokea kwa bahati wakati mmoja. la TL lilipangwa lkn msiba ukatokea. Sasa kwa vyovyote ni busara TL aende kuaga. Kutokufanya hivo ni dharau pia.
Sasa kuhusisha hilo na kuingilia msiba ni jambo lingine na ni mtizamo tu. But kuaga ni muhimu zaidi na pengine ni lazima.
Mnaweza kuwa na chuki na ndugu lakini msiba huwezi kuukwepa
Solution: ni kuwaruhusu with some conditions to avoid disturbance. Otherwise itakuwa ni woga.
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Impact ya Maalim Seif huwez kuifananisha na TL kwasasa, TL popote atakapokanyaga kwasasa lazima watu wavurugwe, huwezi kujizuia kupiga kelele za Shangwe mbele ya TL, serikali ilijua hilo ndo maana ikamzuia, hakuna sababu nyingineWaulize mbona Maalim Seif alikuwepo? Yeye alizuiwa?
Kutikisa? Sio kama unavyodhani,tume huru ya uchaguzi kwenye uchaguzi ni kama moyo kwenye mwili wa binadamu,kama hii kitu haipo basi utapangiwa nani akae wapi,na nani akae wapi? Huu uchagizi sio kama wa 2015,utaniambia...Mkuu nakuhakikishia, haya mambo sio rahis hivyo, ashapiga mkwara mara ngapi mzee lakin mbona ujio wa TL umetikisa? Kuongoza nchi kwa kutumia nguvu lazima ufeli tu, utaweza kwa muda fulan lakin sio kwa muda wote.
Rais aliingia saa ngapi, na CHADEMA walifika pale saa ngapi?!Walikuwa wapi mpaka waingie wakati Rais ameshaingia ndani? Itifaki lazima izingatiwe.
Thibitisha, au ni mawazo yako tu?Sina shida na hilo Mkuu ila halihitaji Akili Kubwa kujua kuwa kuna Watu walipanga kwenda ili kupata Political Mileage kwa Ujio wa Mgeni Mwenyeji.
Ha ha CCM mtakuwa mazuzu no wonder mumelaanika na kukataliwa hadi uwanja kujaza watoto wa shule za msingi maana mumekataliwa kabisa vimebaki vinapiga kelele uwanjani kama ndegeHatuwezi kukubali chadema wanajisi msiba wa marehemu mzee wetu mkapa, nchi hii ina intelijensia kali ambayo tulifahamu kwa muda mrefu kwamba hawa watu wanataka kunajisi msiba.
Siasa za matukio zimepitwa na wakati.
Viongozi wa Vyama Vya Siasa, Viongozi wa Dini na Mashirika mbalimbali walitangaziwa kuwa kutakuwa na usafiri wao maalumu toka Karimjee, Ina maana huko itafaki ndio iliandaliwa sio pale uwanjani.
Viongozi na wananchi wa kawaida walioenda na magari yao walishauriwa kupaki nje kabisa ya Uwanja na kuingia kwa kufuata mstari wa kawaida wa watu wote.
Tupunguze mihemuko kwa vitu vidogo vidogo kama hivi vinashusha heshima ya Chama.
Ni haki haikuwa zawadi/rushwaJana polisi wameawachia mkajinafasi maksema mmeogopwa.
Wanafunzi ndio waliingia hata rais alipokuwa akihutubiaNiko naangalia TV hapa naona bado watu wanaingia tu tena wengi kweli
Maoni finyu kuwakatalia na kuwadharau mumewapa mileage zaidiSiasa tu mpaka kwenye Misiba?
Hapo serikari yote iko hapo, Maana yake kuna ulinzi na Interejensia ya kutosha, kina Tundu na Chadema wao wanaamua kwenda kujitangaza Kisiasa kwenye Jambo la simanzi?
Hata kama siasa ndio zinatupangia Kwa kila ktu Ila si kwenye Msiba
Nakubaliana nawew, lakin amini nakuambia matumizi ya nguvu badala ya hoja yanaanza kumfika shingoni Anko, watu million 60 kuwaongoza kwa amri amri na vitisho sio rahisi na pia hakuna uchaguzi mgumu na utavutia Dunia km huu wa mwaka huu,Kutikisa? Sio kama unavyodhani,tume huru ya uchaguzi kwenye uchaguzi ni kama moyo kwenye mwili wa binadamu,kama hii kitu haipo basi utapangiwa nani akae wapi,na nani akae wapi? Huu uchagizi sio kama wa 2015,utaniambia...
Wanafunzi shule ya msingi kibao japo chadema walifika kabla ya Rais kukaaMkuu, kwani hakuna wengine wameendelea kuingia baada ya raisi? Pia rais njia ni nyeupe wengine kuna foleni na ukumbuke mtu alifika jana tu na uchovu wa safari na kusema kweli lazima maandalizi yawepo kutokana na yaliyotokea huko nyuma.
Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
Kama hajaiona, basi ningeomba taarifa hii imfikie ndugu yangu brazaj ambae hata wino wa mjadala wetu hujakauka...
Halafu hivi ni nani yule aliniambia eti Magu atakuwa kabadilika kutokana na kifo cha Mkapa?!!