Gidbang
JF-Expert Member
- Jun 1, 2014
- 4,482
- 3,999
Angalia nyuzi nazo ziandika humu jamii forum. Ni nyuzi za kujenga, ndio hizo WAJUMBE NJOONI HUKU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia nyuzi nazo ziandika humu jamii forum. Ni nyuzi za kujenga, ndio hizo WAJUMBE NJOONI HUKU
Je walifuata mambo ya itifaki? Maana wasifanye kama msiba wa mtu wa kawaida.
Raisi alikuwa hajafika walivyokataliwa
Hiyo intelejensia ilijua Mzee Mkapa atafariki?Hatuwezi kukubali chadema wanajisi msiba wa marehemu mzee wetu mkapa, nchi hii ina intelijensia kali ambayo tulifahamu kwa muda mrefu kwamba hawa watu wanataka kunajisi msiba.
Siasa za matukio zimepitwa na wakati.
Wamefika saa tatu tena na msafara wa magari yao wakati wanajua fika utaratibu ulikuwa ni kuanzia Karimjeee mnaletwa na magari hadi taifa ..., ukumsikia Dr Abbasi?
Kwani mlivyo ambiwa mtumie geti lingine kwanini mlikataa? Mlitaka kushangiliwa? Mlitaka kiki? Mbona Maalim Seif aliwai?View attachment 1519643
Unaelewa nini kuhusu muda mrefu, kwa maana ni neno au sentence iliyokuzuzua kuliko?Hiyo intelejensia ilijua Mzee Mkapa atafariki?
Mkuu unaumwa malaria?Saf
Safi sana wanatuletea mzaha hatupo kucheza na vitoto vidogo, hiko chana kifutwe tuu. Wamekosa heshima kabisa ni aibu kuwa na chama kama CHADEMA Tanzania.
msiba kama huu viogozi wenye busara hutumia nafasi hiyo kuunganisha taifa. ila serikali isiyo elewa wajibu wake hujimaliza kwa kugawa wananchi wake katika makundi makundi. hapa busara ilitakiwa itumike.Walikuwa wapi mpaka waingie wakati Rais ameshaingia ndani? Itifaki lazima izingatiwe.
Kwahiyo watoto wa shule za msingi hawatakiwi kumuaga kiongozi wao muasisi wa elimu bure ulitaka wewe tu unae soma memkwa ndio uhudhurie..Ha ha CCM mtakuwa mazuzu no wonder mumelaanika na kukataliwa hadi uwanja kujaza watoto wa shule za msingi maana mumekataliwa kabisa vimebaki vinapiga kelele uwanjani kama ndege
Msafara wa Viongozi Wakuu wa CHADEMA, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Freeman Mbowe, wamezuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru walikokuwa wameenda kuhudhuria shughuli ya kutoa heshima za mwisho na kumuaga Rais Mstaafu wa Awamu Tatu, Hayati Benjamin William Mkapa.
Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Mbowe aliongozana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa (Bara), Mhe. Tundu Lissu, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Mhe. John Mnyika, Mwenyekiti wa Baraza la Wazee, Mhe. Hashim Juma Issa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama, Mhe. Suzan Kiwanga na viongozi wengine waandamizi kutoka Makao Makuu ya CHADEMA, Viongozi wa Kanda 10 za chama, Viongozi CHADEMAwa Mikoa, Wilaya na Majimbo mbalimbali nchi nzima.
Kutoka Uwanja wa Uhuru hapa, Dar es Salaam.
=====
UPDATES:
CHADEMA yaitaka Serikali itoe maelezo kwanini viongozi wake wakuu wamezuiwa kumuaga hayati Benjamin Mkapa!
I’m fine, napambana na timu roho kutu mkuu! We niachie! Hoja iwekwe mezani na siyo upuuzi wa maneno ya kwenye kanga na yenye kukosa utu na ubinadamu!jmushi1 relax mkuu..hayo ni maoni ya wadau.
Kama hujaridhika nayo achana nayo tu. Jf ni kama bahari, kuna kila aina ya viumbe...ukitupa kokoro tegemea mazaga kibao.
Wewe chukua samaki hayo mengine tupa.
Rais alihakikisha amewahi kabla yao! Kwanza sasa hivi huyu anahitaji kura nyingine kuwa rais!Nadhani wangewahi mapema kabla ya Rais wangeruhusiwa,ila kwenda wakati mkuu wa nchi ameshafika siyo busara,hata kama hatukubaliani kisiasa ni lazima tuheshimu mamlaka zilizopo haha kama hatuziheshimu
Tuwe tuna argue with strong points,kwa style hii ni kufanya utoto,kwani ratiba hawakuwa nayo?Rais alihakikisha amewahi kabla yao! Kwanza sasa hivi huyu anahitaji kura nyingine kuwa rais!
Maelekezo toka juu. Hasira za yaliyotokea jana bado zinawasumbua!! Intelijensia walikuwa likizo!
Au Mimi sijui kutofautisha kati ya makumi,mania maelfu nk? Watu waliokuja kumpokea huyu rais wa walopokaji hawafiki hata elfu moja,sasa shazi hilo liko wapiWashaogopeshwa na shazi la jana.
Au Mimi sijui kutofautisha kati ya makumi,mania maelfu nk? Watu waliokuja kumpokea huyu rais wa walopokaji hawafiki hata elfu moja,sasa shazi hilo liko wapiView attachment 1519657View attachment 1519658
Kibamia acha dharau na fujo unajuwa walifika mapema ila una spin habari