Uwazitu
JF-Expert Member
- Aug 19, 2019
- 1,419
- 1,397
Je walifuata mambo ya itifaki? Maana wasifanye kama msiba wa mtu wa kawaida.
Asiyekuwa wa KAWAIDA HAOZI?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je walifuata mambo ya itifaki? Maana wasifanye kama msiba wa mtu wa kawaida.
Mama yake yanamhusu haya unayomwambia?? Au pombe, bangi na mirungi zimezidiNa wewe wacha akili utopolo, hiyo akili mwachie mamako huko kijijini hapa mjini njoo na akili ya binadamu timamu! Aliyewapuuza CHADEMA jana ni nani? Hukuona hiyo nyomi?
hebu nyosha maelezo, kazikwa wapi!?Ukiwa hujui itifaki, n dio hivyo tena, we mazishi unayojua ni kutumbukiza mwili kaburini. Hizi ni lugha za kiitifaki huwezi jua ndio maana mlienda kiholela.
Huwezi kunielewa muulize Lissu anajua lugha hizi😂😂hebu nyosha maelezo, kazikwa wapi!?
Sawa nimesikiaSie tulianza siasa ww wazazi wako hawajakuleta duniani, Umesikia?
Joseph Mbiliyi(Sugu) awaumbua CHADEMA, akiri walichelewa Uwanjani kumuaga Mzee Mkapa
chenga wewe, ngoja nimuulize musibaHuwezi kunielewa muulize Lissu anajua lugha hizi😂😂
Kumufananisha Sefu na CHADEMA nikuikosea CHADEMA adabu,kiongozi anayesimamishwa na CHADEMA uwezo wake ni wa nchi nzima pamoja na Zanzibar yenyewe hata kama atapata kura elfutatutatu kila jimbo Sefu hawezi kupata kura kama hizo, Sefu ni wakumulinganisha na akina Mwakajoka wa jimbo la Tunduma ndio size yake.Ukichukua Sefu na Chadema, Sefu anamadhara makubwa kwa CCM kuliko Chadema.
Ni kwenye ushindi wa Sefu mwaka 2000 zaidi ya Wazanzibar 40 walifariki na wengine mpaka leo wako ukimbizini.
Ni kwenye ushindi wa Sefu serikali ya CCM ilisalimu amri Hadi kuunda serikali ya Umoja wa Kitaifa.
Ni kwenye ushindi wa Sefu serikali ya CCM ilifuta matokeo ya Uchaguzi kupitia Mwenyekiti wa ZEC wakati huo Jecha....
Nyie Chadema mmewahi kufanya tukio gani la Kitaifa hadi serikali ya CCM ikasalimu amri.
Je, walifuata kama ratiba ya kwenye barua iliwapasa wafuate? Barua iliwataka waingie uwanjani baada ya kiongozi mkuu wa nchi kuingia?
Sizungumzii nyomi mimi. Chadema Jana walikaidi agizo la polisi la kutokukusanyika, badala yake wakakusanya wafuasi wao kila kona wakajazana pale airport na baadae wakaandamana. Lengo lao lilikua polisi wawazuie ili vurugu zitokee wapate kiki lakini wakapuuzwa. Sasa leo wakaona bora waamkie msibani, napo wamekwaa kisiki. Sasa hivi, watakua wanaandaa maandamano ya kumsindikiza Lissu Mahakamani.Na wewe wacha akili utopolo, hiyo akili mwachie mamako huko kijijini hapa mjini njoo na akili ya binadamu timamu! Aliyewapuuza CHADEMA jana ni nani? Hukuona hiyo nyomi?
AsanteMwanahabari Huru,
Nafikiri kwenye hili tuache ushabiki Viongozi wa Chadema wamechelewa kufika uwanjani na walipaswa kukaa presidential Area wangekaaje na je uwanjani wangeingia vp wakati Rais kaishaingia?
Wakubwa sehemu yeyote ambayo kama kuna event mtu wa mwisho kuingia ni Rais ukichelewa kaa mbali tu!
Duh mtake radhi Malimu Sefu, Ndani ya Chadema hakuna wa kufanana nae kisiasa.Kumufananisha Sefu na CHADEMA nikuikosea CHADEMA adabu,kiongozi anayesimamishwa na CHADEMA uwezo wake ni wa nchi nzima pamoja na Zanzibar yenyewe hata kama atapata kura elfutatutatu kila jimbo Sefu hawezi kupata kura kama hizo, Sefu ni wakumulinganisha na akina Mwakajoka wa jimbo la Tunduma ndio size yake.
Ili nimtake radhi labda nikuulize hana wakufanana naye kivipi?Duh mtake radhi Malimu Sefu, Ndani ya Chadema hakuna wa kufanana nae kisiasa.
Fool! Unawezaje kuinga na msafara kwenye shughuli wakati rais wa nchi kisha ingia? Protokali gani na nchi gani duniani yenye ufala kiasi hicho? CHADEMA ina mengi ya kujifunza ingawa naona tatizo ni kutaka kujionesha kama vile vibinti vya vyuoni vinavyowinda kuingia wakati mwalimu yuko darasani, ili vionekane. Shiiiit!Msafara wa Viongozi Wakuu wa CHADEMA, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Freeman Mbowe, wamezuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru walikokuwa wameenda kuhudhuria shughuli ya kutoa heshima za mwisho na kumuaga Rais Mstaafu wa Awamu Tatu, Hayati Benjamin William Mkapa.
Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Mbowe aliongozana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa (Bara), Mhe. Tundu Lissu, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Mhe. John Mnyika, Mwenyekiti wa Baraza la Wazee, Mhe. Hashim Juma Issa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama, Mhe. Suzan Kiwanga na viongozi wengine waandamizi kutoka Makao Makuu ya CHADEMA, Viongozi wa Kanda 10 za chama, Viongozi CHADEMAwa Mikoa, Wilaya na Majimbo mbalimbali nchi nzima.
Kutoka Uwanja wa Uhuru hapa, Dar es Salaam.
=====
UPDATES:
CHADEMA yaitaka Serikali itoe maelezo kwanini viongozi wake wakuu wamezuiwa kumuaga hayati Benjamin Mkapa!
Wamenikumbusha ya Lowassa kuzuiliwa mazishi kule upareni.Sishangai.Civilisation imewapitia mbali sana MATAGA!
Usishangae wakaambiwa wameandamana bila Kibali.
Ubaguzi huu sasa unahamia mpaka kwenye misiba na ipo siku utakwenda zaidi ya hapo.
Ya jana yamewaumiza, na hizi ndio hasira zao.
Hatari ya uamuzi huu ni msiba kuchukua sura ya kisiasa na matokeo yake watu wanaweza kususa kushiriki ikiwamo kuondoka msibani kwa waliokwisha kufika.
Ila kama kuna sababu ya msingi ya kuwazuia,tuambiwe.
Chadema utoto mwingi Sana!!Fool! Unawezaje kuinga na msafara kwenye shughuli wakati rais wa nchi kisha ingia? Protokali gani na nchi gani duniani yenye ufala kiasi hicho? CHADEMA ina mengi ya kujifunza ingawa naona tatizo ni kutaka kujionesha kama vile vibinti vya vyuoni vinavyowinda kuingia wakati mwalimu yuko darasani, ili vionekane. Shiiiit!
Anayekabidhi nchi ni wewe au wananchi wengi walio na wajibu wa kufanya hivyoChadema utoto mwingi Sana!!
Na bahati mbaya kwamba hata wafuasi wake ukikaa vizuri kabisa kuwachunguza Kwa undani wengi wao ni wavuta bangi na machizi na hawana adabu
Nachofurahia tu kwamba nchi haiwezi kukabidhiwa Kwa watu wenye huluka hiyo!!