Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Ujinga mtupu, kwaiyo saizi mimi nikitaka kuja hapo, siruhusiwi?Hivi chadema na Bavicha hamjui kuwa huwa Rais ndio huwa ni wa mwisho kuingia?
Wameitikia wito wa wazuri mkuu aliyesisitiza watanzania tujitokeze kwa wingi kumuaga mzee mkapa.
Na hawa watu wanaoingia mudahuu ni maraisi wa wapi?Wamekwenda muda gani? Wamekwenda baada ya kuingia Rais au baada ya kuingia Rais?
Viongozi wote isipokuwa Rais kiutaratibu huingia kabla ya kiongozi mkuu wa nchi hajaingia!
Mtu wa mwisho anaye ingia kwenye tukio lolote la kitaifa huwa ni Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania!
Hebu Twambie wao wametaka kuingia muda gani? Wakati Rais kuingia au kabla?
Hivi kweli mko serious mnataka kwenda ikulu? Hamkujua ratiba?
Kumbuka kwamba matukio yote yametokea kwa bahati wakati mmoja. la TL lilipangwa lkn msiba ukatokea. Sasa kwa vyovyote ni busara TL aende kuaga. Kutokufanya hivo ni dharau pia.Hawa jamaa wanafanya mzaha na msiba wa taifa . Kiki ya jana imebuma wameona waende wakatafute kiki nyingine msibani. Aibu sana kwa CHADEMA.
Hovyo!!Rais akishaingia mahala Itifaki hairuhusu mtu mwingine kuingia, so hao walitaka kuvunja utaratibu na hivyo ni haki kabisa kuzuiliwa
Kujitangaza ni kwa hoja na hoja zinajibiwa kwa hoja. CCM msitugawe Tanzania ni moja tofauti yetu ni itikadi tu.
Pia wakiendaa saa 4 hao wanaozuia wanapungukiwa nini?Kwani wangeenda saa mbili asubuhi wangepungukiwa nini?
Alisemaje?Ile statement ya Pm jana iliashiria hilo jambo.
Of which is very bad kubaguana hata kwenye msiba. Hii ni aibu na fedheha kwa Taifa.
Kuna Watu ninawashauri kwa nia njema tu kuwa wawe makini mno kwani kuna Mtu namuona anahutubia ila ana Hasira na Kisununu sana Moyoni.
Niko naangalia TV hapa naona bado watu wanaingia tu tena wengi kweliJe walifuata mambo ya itifaki? Maana wasifanye kama msiba wa mtu wa kawaida.
Mkuu, kwani hakuna wengine wameendelea kuingia baada ya raisi? Pia rais njia ni nyeupe wengine kuna foleni na ukumbuke mtu alifika jana tu na uchovu wa safari na kusema kweli lazima maandalizi yawepo kutokana na yaliyotokea huko nyuma.Walikuwa wapi mpaka waingie wakati Rais ameshaingia ndani? Itifaki lazima izingatiwe.
Yana MWISHOWao wangetakiwa waingie mapema Sanaa , Ila kwa Sasa Rais amekuwa tayari ameingia na kuhutubia inaleta picha mbayaaa... Anyway tuendelee kusubiri
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app