Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
Mwanahabari Huru,
Mimi nashauri wasiwazuie. Walitakiwa wawazuie kama wangeenda kwa namna ya maandamano ambayo yangeonyesha kuwa wanataka kuutumia msiba wa wa-Tanzania kama kick ya kisiasa.
Hawa watu kwa sababu ni Viongozi na ni wamoja na wameamua katika umoja wao kuhudhuria kwa staili, waachwe. Kwa mfano Tundu Lissu jana kama wangezuia msafara wa wafuasi wake kumpokea airport.
Ujio wake ungekuwa na impact kubwa zaidi kuliko ilivyotokea jana, lakini walivyomu-ignore, wala hapajatokea chochote kile chenye impact kubwa sana.
Mwaka 1995 kwenye kampeni, Mrema alikuwa anabebwa na wafuasi wake, halafu kukatokea mamlaka zikawa zinazuia asibebwe.
Ilipofika siku ya uzinduzi wa Kampeni za CCM jangwani, Mwalimu Nyerere akauliza swali, mtu anayebebwa anavunja sheria gani ya JMT?
Mimi nashauri wasiwazuie. Walitakiwa wawazuie kama wangeenda kwa namna ya maandamano ambayo yangeonyesha kuwa wanataka kuutumia msiba wa wa-Tanzania kama kick ya kisiasa.
Hawa watu kwa sababu ni Viongozi na ni wamoja na wameamua katika umoja wao kuhudhuria kwa staili, waachwe. Kwa mfano Tundu Lissu jana kama wangezuia msafara wa wafuasi wake kumpokea airport.
Ujio wake ungekuwa na impact kubwa zaidi kuliko ilivyotokea jana, lakini walivyomu-ignore, wala hapajatokea chochote kile chenye impact kubwa sana.
Mwaka 1995 kwenye kampeni, Mrema alikuwa anabebwa na wafuasi wake, halafu kukatokea mamlaka zikawa zinazuia asibebwe.
Ilipofika siku ya uzinduzi wa Kampeni za CCM jangwani, Mwalimu Nyerere akauliza swali, mtu anayebebwa anavunja sheria gani ya JMT?