Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Mbona mimi nilienda tu jana bila itifaki?Je walifuata mambo ya itifaki? Maana wasifanye kama msiba wa mtu wa kawaida.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mimi nilienda tu jana bila itifaki?Je walifuata mambo ya itifaki? Maana wasifanye kama msiba wa mtu wa kawaida.
Kwani mkapa alikua ni malaika!? akili nyingine bana!!Je walifuata mambo ya itifaki? Maana wasifanye kama msiba wa mtu wa kawaida.
Kwa hiyo wamezuiwa kwa kuwa walienda kwa gari? Na wasio na magari je, wakapaki nini Karimjee?Serikali ilitoa utaratibu wa viongozi wote kuingia uwanjani.. Waliambiwa magari yao wakayapaki Karimjee na wangeondoka kwenye msafara mmoja kwa kutumia magari yaliyoandaliwa. Lakini kwa kuwa CHADEMAwana hobby ya kukiuka taratibu zilizopangwa ili kusababisha taharuki, kujenga picha kuwa wanabaguliwa na pia kujipatia kiki, wanafanya hivi kwa makusudi.
Wasingeenda tu, maana hata Magufuli huwa haendi kwenye misiba mbalimbali ambayo watz wamepoteza maisha kwa idadi kubwa, mfano wale wa tetemeko la Kagera au kuzama kwa kivuko cha mv nyerere.
Walienda saa moja
Nikweli watu wangelianza kusema Rais! Rais! Rais! Rais!Na hilo ndio lisilotakiwa kwenye hiyo hafla. Hata kwa akili ya kawaida tu, inafahamika hali hiyo sio rafiki kwa ccm na serikali yake.
Akuwa malaika ila alikuwa rais wa JMT au ujui hilo?kwani mkapa alikua ni malaika!? akili nyingine bana!!
Nikweli watu wangelianza kusema Rais! Rais! Rais! Rais!
Mmeshindwa kuacha sherehe yenu ya mapokezi jana, mmekesha mnakunywa Ma Faru John na mmesakata rhumba mpaka machweo, leo ndio mvae ma T-shirts yenu kuja kuuza sura uwanjani napo mu enjoy mwili wa mpendwa wetu!! kwendaaa! mngekua na uchungu msingefanya sherehe jana na mbwembwe mitaani, tuacheni tuomboleze nendeni mkagonge faru john zenu huko.Civilisation imewapitia mbali sana MATAGA!
Usishangae wakaambiwa wameandamana bila Kibali.
Ubaguzi huu sasa unahamia mpaka kwenye misiba na ipo siku utakwenda zaidi ya hapo.
Ya jana yamewaumiza, na hizi ndio hasira zao.
Hatari ya uamuzi huu ni msiba kuchukua sura ya kisiasa na matokeo yake watu wanaweza kususa kushiriki ikiwamo kuondoka msibani kwa waliokwisha kufika.
Ila kama kuna sababu ya msingi ya kuwazuia,tuambiwe.
Atapasuka mwaka huu, anataka kutuendesha Watanzania wote kama anavyofanya kwa mke na watoto wake nyumbani, haiwezekani.Kuna Watu ninawashauri kwa nia njema tu kuwa wawe makini mno kwani kuna Mtu namuona anahutubia ila ana Hasira na Kisununu sana Moyoni.
Chadema hawana shukurani hata wapewe nn, ni sawa na mchepuko single mother.Wangewaacha tu waingie.
Ona sasa wamepata cha kuwazungumzia