Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Crap!Hatuwezi kukubali chadema wanajisi msiba wa marehemu mzee wetu mkapa, nchi hii ina intelijensia kali ambayo tulifahamu kwa muda mrefu kwamba hawa watu wanataka kunajisi msiba.
Siasa za matukio zimepitwa na wakati.