Msafara wa Viongozi CHADEMA wazuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru kumuaga Mzee Mkapa. Waitaka Serikali itoe maelezo...

Msafara wa Viongozi CHADEMA wazuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru kumuaga Mzee Mkapa. Waitaka Serikali itoe maelezo...

Viongozi wakuu wa Chadema wamefika uwanja wa Uhuru leo saa moja asubuhi ndipo wakazuiwa kuingia wakiambiwa wasubiri kwanza utaratibu.

Ilipofika saa tatu asubuhi viongozi kadhaa walianza kumiminika na kuruhusiwa kuingia uwanjani huku viongozi wa Chadema wakiwa bado getini.

Rais alipofika akaingia ndipo viongozi wa Chadema wakaambiwa hakuna tena kuingia uwanjani.

Ndipo nasema sasa kila mtu afanye shughuli yake ili mradi hatutavunja katiba.
Mlienda kama kikundi?

Mbona wengine tumeingia kwa utaratibu wa kawaida na hatujasumbuliwa?
 
Viongozi wakuu wa Chadema wamefika uwanja wa Uhuru leo saa moja asubuhi ndipo wakazuiwa kuingia wakiambiwa wasubiri kwanza utaratibu.

Ilipofika saa tatu asubuhi viongozi kadhaa walianza kumiminika na kuruhusiwa kuingia uwanjani huku viongozi wa Chadema wakiwa bado getini.

Rais alipofika akaingia ndipo viongozi wa Chadema wakaambiwa hakuna tena kuingia uwanjani.

Ndipo nasema sasa kila mtu afanye shughuli yake ili mradi hatutavunja katiba.
Asante kwa taarifa
 
Kwenye post zangu za jana nilishauri Lissu kutokwenda kwenye huo msiba, ninajua vyema mtazamo wa serekali hii chini ya Magufuli dhidi ya Lisu. Hapo tatizo la kuzuiliwa ni Lisu, na kwa vyovyote vile angeingia hapo uwanjani lazima angeshangiliwa vibaya sana, jambo ambalo lingezua fedheha na Karaha kubwa kwa serikali.

Ni nani asiyejua kuwa Lisu na Magufuli kuwa hawaivi chungu kimoja? Hivi hao viongozi wa Cdm walitarajia serikali na ccm, wangekubali cdm wachukue point za mezani mbele yao?
Kama sababu ni hiyo kitendo cha leo Viongozi wa CHADEMA wametunisha misuli dhidi ya Serikali, kitendo ambacho ni dharau ya kitoto
 
Ni kutokana na Magufuli kuona aibu kuhusu Lissu na itamtafuna sana hiyo hali!
Magufuli hawezi kuona aibu kuhusu Lisu na Lisu kwa Magufuli si chochote mkuu. Wanaotakiwa kuona aibu ni mwenyekiti wake alietaka kumuondoa ili asigombee uenyekiti na si vinginevyo.
 
Ikitokea uKawaruhusu watu kama hawa halafu kwa kuwa tu wanataka mileage za kisiasa wakawa hata na kibango mfukoni cha kudhalilisha unategemea shughuli itaendelea?
Kwanini umefikiria wakiwa na bango mfukoni vipi wakiwa hawana bango hilo?
 
Kunakitu kinaitwa Malicious Intent kwa kikwetu. Viongozi wa CHADEMA hawakwenda pale uwanjani kwa ajiliya kuomboleza bali kwa ajili ya kudhalilisha viongozi na Nchi. Kikubwa ilikuwa ni kutafuta mileage za kisiasa. Sasa katika hali hiyo ni lazima wangefanya kitu chochote tu ili waonekane wapo. Walikuwa na nia ovu. Nani wa kuruhusu upumbavu huo katjka hali kama hii ya majonzi tuliyonayo?
Mkuu walisimama jana kutoa heshima kwa Rais mstaafu Benjamin Mkapa.

Watanzania tuna upendo na kuvumiliana.
 
Viongozi wakuu wa Chadema wamefika uwanja wa Uhuru leo saa moja asubuhi ndipo wakazuiwa kuingia wakiambiwa wasubiri kwanza utaratibu.

Ilipofika saa tatu asubuhi viongozi kadhaa walianza kumiminika na kuruhusiwa kuingia uwanjani huku viongozi wa Chadema wakiwa bado getini.

Rais alipofika akaingia ndipo viongozi wa Chadema wakaambiwa hakuna tena kuingia uwanjani.

Ndipo nasema sasa kila mtu afanye shughuli yake ili mradi hatutavunja katiba.
Uongo viongozi wa Chadema waliwasili saa nne asubuhi viongozi wote wakuu wakiwa ndani
 
Kunakitu kinaitwa Malicious Intent kwa kikwetu. Viongozi wa CHADEMA hawakwenda pale uwanjani kwa ajiliya kuomboleza bali kwa ajili ya kudhalilisha viongozi na Nchi. Kikubwa ilikuwa ni kutafuta mileage za kisiasa. Sasa katika hali hiyo ni lazima wangefanya kitu chochote tu ili waonekane wapo. Walikuwa na nia ovu. Nani wa kuruhusu upumbavu huo katjka hali kama hii ya majonzi tuliyonayo?

Just out of curiosity, ni kitu gani malicious ambacho Chadema wangeweza kufanya pale msibani?

Amandla...
 
Duuuh kama ndivyo walivyofanyiwa basi inatia shaka ueledi wa hao waliowazuia.
Lakini sidhani kama ni kweli labda atuwekee hapa picha wakiwa getini wakisubiri kuingia. Siamini kwamba saa moja asubuhi hata Tundu Lissu alivyokuwa amechoka jana angeweza kuamuka mapema saa moja akawa uwanjani pale msibani. Hivyo hivyo na Mh. Mbowe jana wakati wa mapokezi ya TL alikuwa anachechemea atawezaje kuamuka asubuhi jamani? Naona hakuna mtu anakataza mwenzake asiende msibani labda kwenye Sherehe ndo watu wanaambiwa kuja na Kadi.
 
Lakini sidhani kama ni kweli labda atuwekee hapa picha wakiwa getini wakisubiri kuingia. Siamini kwamba saa moja asubuhi hata Tundu Lissu alivyokuwa amechoka jana angeweza kuamuka mapema saa moja akawa uwanjani pale msibani. Hivyo hivyo na Mh. Mbowe jana wakati wa mapokezi ya TL alikuwa anachechemea atawezaje kuamuka asubuhi jamani? Naona hakuna mtu anakataza mwenzake asiende msibani labda kwenye Sherehe ndo watu wanaambiwa kuja na Kadi.
Mmeshaanza ubishi. Wao waliwafukuza Chadema kwa madai kuwa eti hawakuanzia kanisani wakati viongozi kibao wameingia pale bila kwenda kanisani na wameruhusiwa huku Chadema wakiwatazama
 
Back
Top Bottom