Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna vichawa vya uv nanii vinajikutaga sana yaaaniHivi kwa nini wabongo mmekosa utu siku hizi?
Hasa mlio katika mlengo wa kijani,mnaona mtu akifa kifo kinachotokana na serikali mnakosa kabisa utu hata kidogo.
Hapa haijalishi nani amekosea,ila kama ajali imesababisha kifo ulipaswa useme pole kabla ya kuandika hii utumbo wa "alifata nini barabarani".
Shame on you!!
Nimtaje jina alafu kesho... au bas tuKuna zaidi ya mawaziri 30, unalalamika na umeshindwa hata kumtaja huyo waziri, hata plate number ya gari lake ambayo inaonesha ni waziri wa wizara gani umeshindwa kuitaja?! Sasa unatuingiza katika uchunguzi wa kujua waziri gani alikuwa mkoani Kigoma, what if kulikuwa na ziara na walikuwa mawaziri zaidi ya mmoja mkoani hapo je msaada utapatikanaje?
Binasfi naona umeleta habari ambayo haijakamilika na ni ngumu kupata msaada kwa taarifa hii fupi uliyoileta.
Kama inauma chomoa sio kila mmoja upumbavu mwenzaoAisee!!
Basi inatosha tuishie hapa,maana kutajiana wazazi umefika mbali sana.
Wabongo bora hata Wazulu mkuu wana roho mbaya sana hao..Hivi kwa nini wabongo mmekosa utu siku hizi?
Hasa mlio katika mlengo wa kijani,mnaona mtu akifa kifo kinachotokana na serikali mnakosa kabisa utu hata kidogo.
Hapa haijalishi nani amekosea,ila kama ajali imesababisha kifo ulipaswa useme pole kabla ya kuandika hii utumbo wa "alifata nini barabarani".
Shame on you!!
Halafu taahira mmoja chawa asiye na akili anatetea serikali ya kidhalimu hii .Watanzania wenzangu, sina huzuni kwa sababu sipo Kati ya washindi wa stories of change, Ila huzuni hii niliyonayo imeniumiza mno. Jana kulikua na msafara wa waziri huku kigoma, msafara ule najua ni kwa bahati mbaya wakamgonga mjomba angu na akafariki palepale, Cha ajabu Wala hawakusimama kumuangalia. Hivi ni kweli hii ndo Tanzania tunayoitaka miaka 25 ijayo.
Hakika inaumiza Sana, Ila kwa kuwa sio ndugu yako itakua Ni ngumu kutoa Hata pole. Basi naomba wakuu wa jamiiforums Kama mkiona post Yangu, Jambo hili naomba lisifumbiwe macho. Raia wanabaki wajane na mayatima kwa sababu ya Mambo ya ajabu.
Mwezi wa 7 tu nimempoteza mtu sababu ya pf3 na leo napigwa Tena na tukio hili. Hakika inaumiza. Kupitia jamiiforums natumaini wahusika watapata taarifa na kubadili na kuboresha mienendo yao. Asanteni.
Alafu utakuta alikuwa ni sisiemu kindakindaki na kauli yake ya KIDUMU CHAMA CHA MAJAMBAZI!Watanzania wenzangu, sina huzuni kwa sababu sipo Kati ya washindi wa stories of change, Ila huzuni hii niliyonayo imeniumiza mno. Jana kulikua na msafara wa waziri huku kigoma, msafara ule najua ni kwa bahati mbaya wakamgonga mjomba angu na akafariki palepale, Cha ajabu Wala hawakusimama kumuangalia. Hivi ni kweli hii ndo Tanzania tunayoitaka miaka 25 ijayo.
Hakika inaumiza Sana, Ila kwa kuwa sio ndugu yako itakua Ni ngumu kutoa Hata pole. Basi naomba wakuu wa jamiiforums Kama mkiona post Yangu, Jambo hili naomba lisifumbiwe macho. Raia wanabaki wajane na mayatima kwa sababu ya Mambo ya ajabu.
Mwezi wa 7 tu nimempoteza mtu sababu ya pf3 na leo napigwa Tena na tukio hili. Hakika inaumiza. Kupitia jamiiforums natumaini wahusika watapata taarifa na kubadili na kuboresha mienendo yao. Asanteni.
Halafu hii nchi inaitwa kisiwa cha amani na upendo ,Wabongo bora hata Wazulu mkuu wana roho mbaya sana hao..
sio drama bali watakwambia huyo mjomba ndio kagonga msafara! na akienda police ayawekwa ndani.Watakwambia ni Drama.
PoleWatanzania wenzangu, sina huzuni kwa sababu sipo Kati ya washindi wa stories of change, Ila huzuni hii niliyonayo imeniumiza mno. Jana kulikua na msafara wa waziri huku kigoma, msafara ule najua ni kwa bahati mbaya wakamgonga mjomba angu na akafariki palepale, Cha ajabu Wala hawakusimama kumuangalia. Hivi ni kweli hii ndo Tanzania tunayoitaka miaka 25 ijayo.
Hakika inaumiza Sana, Ila kwa kuwa sio ndugu yako itakua Ni ngumu kutoa Hata pole. Basi naomba wakuu wa jamiiforums Kama mkiona post Yangu, Jambo hili naomba lisifumbiwe macho. Raia wanabaki wajane na mayatima kwa sababu ya Mambo ya ajabu.
Mwezi wa 7 tu nimempoteza mtu sababu ya pf3 na leo napigwa Tena na tukio hili. Hakika inaumiza. Kupitia jamiiforums natumaini wahusika watapata taarifa na kubadili na kuboresha mienendo yao. Asanteni.
MsameheHivi kwa nini wabongo mmekosa utu siku hizi?
Hasa mlio katika mlengo wa kijani,mtu akifa kifo kinachotokana na serikali mnakosa kabisa utu hata kidogo.
Hapa haijalishi nani amekosea,ila kama ajali imesababisha kifo ulipaswa useme pole kabla ya kuandika hii utumbo wa "alifata nini barabarani".
Shame on you!!