Msafara wa Waziri huku Kigoma, ulimgonga mjomba wangu lakini cha ajabu hawakusimama kumuangalia. Hivi ni kweli hii ndo Tanzania tunayoitaka?

Mi nawajua hao kitambo sana ni wanafiki kupita kiasi hawajali maisha ya mtu mwingine kabisaa.
 
Mwezi wa 7 tu nimempoteza mtu sababu ya pf3 na leo napigwa Tena na tukio hili. Hakika inaumiza. Kupitia jamiiforums natumaini wahusika watapata taarifa na kubadili na kuboresha mienendo yao. Asanteni.
Pole sana Ndugu yangu, tukutane Kwenye maandamano. If we must die ......
 
Tangazane kwenye mazishi wananchi wasiwe wanakatiza au kimbilia misafara ya RAIS,makamu ,waziri mkuu ,spika wa binge ,kiongozi kambi rasmi ya upinzani ...ukigongwa ni kazi bure kwa familia
 
Mkienda mahakami hamshindi hiyo kesi sababu wanapokuwapo Top leaders wa nchi na Jaji Mkuu anakuwepo, Dawa ni kupiga kurujuwani, tena hapo kigoma waganga kama wote
 
Mimi mwenyewe sijaelewa hawa wana ccm wamelishwa nini siku hizi maana wamekuwa na roho za kikatili sana dhidi ya watanzania wenzao wengine, hii ni dalili ya laana kubwa
 
Pole Sana.
 
Hakuuona msafara? Au aligongwaje
 
Alifuata nini barabarani? Hili ni swali la msingi jibu sio kuleta ujinga
 
Kifo kimoja tu hakuna haja ya kupiga kelele, waziri ni mtu wa daraja la juu,serikali italipia gharama za mazishi.
 
Pole Sana boss,mhhhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…