BABA WA IMAN
Member
- Jun 23, 2014
- 55
- 7
Natanguliza salamu, pia nataka msaada wa ufafanuzi juu ya dhamana ya kesi iliopo mahakama ya mwanzo kesi ya madai na pia ya wizi. Je kunaurazima wa wadhamini wawili mmoja wapo awe mfanyakazi wa serikalini.
Au hili swala lipoje juu ya dhamana?
Au hili swala lipoje juu ya dhamana?