Msaidie Bujibuji anunue VW Polo

Msaidie Bujibuji anunue VW Polo

✌️ Victory forward
Na umechagua gari nzuri hapo Rwanda wana kiwanda cha VW baada ya muda yatajaa hapo kwetu tusubiri Wazee wa vyuma chakavu maana haya mapya mapya Kodi utadhani unaanzisha kiwanda...Mimi huko yupo ndugu yake Golf 7 Mkuu hiyo ni ndege ya chini ikishika road na ipo mwendo ikaua nzito hatari hata polo ina sifa hii pia...
 
Na umechagua gari nzuri hapo Rwanda wana kiwanda cha VW baada ya muda yatajaa hapo kwetu tusubiri Wazee wa vyuma chakavu maana haya mapya mapya Kodi utadhani unaanzisha kiwanda...Mimi huko yupo ndugu yake Golf 7 Mkuu hiyo ni ndege ya chini ikishika road na ipo mwendo ikaua nzito hatari hata polo ina sifa hii pia...
Hizi ndio ndinga
 
Hizi ndio ndinga
Acha kabisa Mkuu Rwanda wanetoa VAT kuwa zero rate kwa magari yenye thamani ya 60,000 usd ili kuongeza wawekezaji wakati kwetu ukijaribu kuja na hilo Kodi utakayopigwa unaweza kurudi nalo dzonga wapo walioondoka na magari matata hapa hayapo kwenye kikokoteo Cha tra walipofika Tunduma ilibidi yarudi tena SA Kodi ya kukomoa...
 
Acha kabisa Mkuu Rwanda wanetoa VAT kuwa zero rate kwa magari yenye thamani ya 60,000 usd ili kuongeza wawekezaji wakati kwetu ukijaribu kuja na hilo Kodi utakayopigwa unaweza kurudi nalo dzonga wapo walioondoka na magari matata hapa hayapo kwenye kikokoteo Cha tra walipofika Tunduma ilibidi yarudi tena SA Kodi ya kukomoa...
Mawazo ya kimasikini na kifukara ndio yanayoongoza nchi. Badala ya kuifanya nchi kuwa Paradise, wewe unaifanya iwe hell, watu waishi kama MASHETANI
 
Ndugu wana JamiiForums, hivi kwani maisha mazuri kaumbiwa Kiduku Lilo tu? Hata mimi napenda niendeshe gari kali ya Mjerumani VW Polo, yaani. Amaizing (hili neno hata sijui tafsiri yake).

Haya sasa mpango uko kama hivi, nauza mgoma wangu huu Toyota Wish, ukiuchukua naongeza hela kuduchu tu nilizozipata kwa kuuza maandazi, bagia na chai.

Hebu tuwezeshane jamani, nahitaji 8 mil only.

Ndo ulikuwa unaendesha hii kitu? Jitahidi upate gari sasa . Achana na haya machuma na plastics. Nunua Polo angalia ya miaka ya 2017-2021. Usinunue gari ambayo toka itengenezwe imepita miaka 5.
 
Was cravingly waiting for your reply
Nlikuwa nimetoka kwenye jacuuzi ndo nikaona wakati napata juice niangalie watanzania mna hali gani. Vipi Corona ipo ? Mnaaendelea Kujifukuza? Angalieni sana inaweza leta madhara. Doctor wangu alisema kujifukuza kunaweza athiri pia njia ya hewa. Kusipitilize.

Wewe ni member mkubwa JF nunua gari achana na vyombo vya usafiri. Find a good car which at least cost 50,000,000 to 70,000,000 its not bad.
 
Nlikuwa nimetoka kwenye jacuuzi ndo nikaona wakati napata juice niangalie watanzania mna hali gani. Vipi Corona ipo ? Mnaaendelea Kujifukuza? Angalieni sana inaweza leta madhara. Doctor wangu alisema kujifukuza kunaweza athiri pia njia ya hewa. Kusipitilize.

Wewe ni member mkubwa JF nunua gari achana na vyombo vya usafiri. Find a good car which at least cost 50,000,000 to 70,000,000 its not bad.
Asante
 
Nlikuwa nimetoka kwenye jacuuzi ndo nikaona wakati napata juice niangalie watanzania mna hali gani. Vipi Corona ipo ? Mnaaendelea Kujifukuza? Angalieni sana inaweza leta madhara. Doctor wangu alisema kujifukuza kunaweza athiri pia njia ya hewa. Kusipitilize.

Wewe ni member mkubwa JF nunua gari achana na vyombo vya usafiri. Find a good car which at least cost 50,000,000 to 70,000,000 its not bad.
Uko pande zipi Mkuu?
 
Boss kidukulilo naomba nikopeshe 1M nitarudisha ndani ya mwezi mmoja ,,,nimekwama boss
Nlikuwa nimetoka kwenye jacuuzi ndo nikaona wakati napata juice niangalie watanzania mna hali gani. Vipi Corona ipo ? Mnaaendelea Kujifukuza? Angalieni sana inaweza leta madhara. Doctor wangu alisema kujifukuza kunaweza athiri pia njia ya hewa. Kusipitilize.

Wewe ni member mkubwa JF nunua gari achana na vyombo vya usafiri. Find a good car which at least cost 50,000,000 to 70,000,000 its not bad.
 
Nlikuwa nimetoka kwenye jacuuzi ndo nikaona wakati napata juice niangalie watanzania mna hali gani. Vipi Corona ipo ? Mnaaendelea Kujifukuza? Angalieni sana inaweza leta madhara. Doctor wangu alisema kujifukuza kunaweza athiri pia njia ya hewa. Kusipitilize.

Wewe ni member mkubwa JF nunua gari achana na vyombo vya usafiri. Find a good car which at least cost 50,000,000 to 70,000,000 its not bad.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Daah
 
Nlikuwa nimetoka kwenye jacuuzi ndo nikaona wakati napata juice niangalie watanzania mna hali gani. Vipi Corona ipo ? Mnaaendelea Kujifukuza? Angalieni sana inaweza leta madhara. Doctor wangu alisema kujifukuza kunaweza athiri pia njia ya hewa. Kusipitilize.

Wewe ni member mkubwa JF nunua gari achana na vyombo vya usafiri. Find a good car which at least cost 50,000,000 to 70,000,000 its not bad.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aseeeeeh hatareeeh San lol
 
Na umechagua gari nzuri hapo Rwanda wana kiwanda cha VW baada ya muda yatajaa hapo kwetu tusubiri Wazee wa vyuma chakavu maana haya mapya mapya Kodi utadhani unaanzisha kiwanda...Mimi huko yupo ndugu yake Golf 7 Mkuu hiyo ni ndege ya chini ikishika road na ipo mwendo ikaua nzito hatari hata polo ina sifa hii pia...
Vipi kuhusu GTI
 
Back
Top Bottom