Msaidieni kaka yangu ndoa inavunjika, hawezi kwenda round zaidi ya moja

Ni wafuasi wa ishmarl au Isaka?
 
Asali ya nyuki wa kubwa au wadogoo
 
tatizo tunaona kubadili wanaume ndo ujanja..ila kama mtu ashapitia samples kama 5 hvi unadhani ataridhishwa na nani?!

na wanaume wengi ambao wapo vzuri kitandani sio waoaji cos wanawake wanawang'ang'ania...

wanawake inabdi tuitunze na tuithamini miili yetu..
 
Nipatie shemela wako nimpe maelezo ya kufanya ili amsaidie braza
 
Sijui kwanini huyo mwanamke anatupiwa lawama!! Mbaya zaidi hadi na wanawake!!
 
Hivi kumbe kuzoea mshindo ni ugume gume!! Hivyo hautakiwi kufika mshindo eeh!!!
Mbona mwanaume nae katoa siri za ndani!!
 

Hao wanawake walishakuwa extinct dunia ya sasa. Na hata akimjua mmoja kama hana Mungu atatamani kujua wengine wakoje na kuna wengine anahangaika hata na wanaume mia lakini akiolewa anatulia na mmoja hao ndio binadamu hawana formula yoyote
 
Kwani kawaida round bgapi?samahani lakini
 
Nadhani hapa tumetofautiana uelewa dada ake mi sikuwa namaanisha mshindo huo mie nilimaanisha ile kubadili badili wanaume. Pole.
Tatizo hapa ni kuwa mwanaume akipiga kimoja chaliii, hali inayompelekea bibie msongo wa mawazo as hafikishwi. Kumbuka tendo la ndoa ni kiungo muhimu mnooo cha ndoa. Sasa sijui kuwa na wanume tofauti tofauti ndiko kulikompelekea huyo mwanaume awe hivyo!! Nashindwa kuunganisha hii lawama unayompa mwanamke na tatizo la mwanaume. Maana mwanaume kweli amekiri kuwa ana tatizo.

Na inaelekea mwanaume alikuwa anajijua ana tatizo hata kabla ndio maana alikubaliana na sharti la kufanya hadi ndoa(ikumbukwe kuwa ni wanaume wachache mnooo wasio na matatizo hukubaliana na hilo)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…