Asali ya nyuki wa kubwa au wadogooInaonyesha unatatizo la upungufu wa nguvu za kukaza mke wako ipasavyo. Fanya hiv, Chukua Asali kilo moja changanya na unga wa mdalasini vijiko vikubwa tano tumia Asubukhi unapo amka na unapo taka kulala. Katakata vitunguu swaumu punje 10 kisha meza kwa kutumia maji glass mbili Asubukhi na Jioni. Fanya hivyo kwa mwenzi mzima. Aisee nimechoka kuandika, mengine njoo pm nikwelekeze.
tatizo tunaona kubadili wanaume ndo ujanja..ila kama mtu ashapitia samples kama 5 hvi unadhani ataridhishwa na nani?!Nilikuwa kanisani siku moja kwenye mkutano wa wanawake. Msemaji mmoja alisema umuhimu wa wanawake kujitunza.
Alisema ukizoea ya Ali na ya Joseph, ukija kuolewa na Eric utaona hajui mapigo. Lakini kama mwanaume unaemjua ni Eric tu utaridhika na hali yake.
Hahahahaaaa punyeto ni mbaya aisee. Unaweza ingiza demu ndani goma likashidwa simama [emoji23][emoji23][emoji23]Haya ndio matatizo yakujidai hauli papuchi mpaka uoe, unakuja kuoa papuchi inakushinda kula vizuri
Yoyote utakayo pata tumia Ila iwe mbichiAsali ya nyuki wa kubwa au wadogoo
Sure man ...ilo tatizo nmekumbana nalo Mara nyingi PM.Hahahahaaaa unampa tahadhari mapema kabisa
Hahahahaaaa wanakuja wanataka wakupe tiGo amaSure man ...ilo tatizo nmekumbana nalo Mara nyingi PM.
Aaahhhh + visa visa nisivyovielewa.Hahahahaaaa wanakuja wanataka wakupe tiGo ama
Haaaaaa neno Dada yangu hiloDu shemeji yenu ni mcharuko, mambo kama hayo hayasemwi nje ukizidiwa unajikojolesha mwenyewe mradi mume wa kukupa watoto unae ndani. Alifundwa wapi huyo mke?
Hivi kumbe kuzoea mshindo ni ugume gume!! Hivyo hautakiwi kufika mshindo eeh!!!Hiyo ndio shida ya kuoa magume gume ambayo yameshazowea mishindo. Hapo cha kufanya huyo mwanaume aende kwa wataalamu wa afya ili ajue namna ya kutatua tatizo lake.
Pia hiyo ni tabia mbaya sana ya mwanamke kutoa siri za chumbani na mumewe sababu mpaka hapo msaada hajaupata bado na bora angekaa nayo moyoni huku anatafuta njia ya kumsaidia mumewe.
Mmmh mwambie anione
Nadhani hapa tumetofautiana uelewa dada ake mi sikuwa namaanisha mshindo huo mie nilimaanisha ile kubadili badili wanaume. Pole.Hivi kumbe kuzoea mshindo ni ugume gume!! Hivyo hautakiwi kufika mshindo eeh!!!
Mbona mwanaume nae katoa siri za ndani!!
Si useme tu kuwa ni ww
Nilikuwa kanisani siku moja kwenye mkutano wa wanawake. Msemaji mmoja alisema umuhimu wa wanawake kujitunza.
Alisema ukizoea ya Ali na ya Joseph, ukija kuolewa na Eric utaona hajui mapigo. Lakini kama mwanaume unaemjua ni Eric tu utaridhika na hali yake.
Nikupm ili iweje?Mkuu ukitaka kusimulia mchezo wangu wewe ni PM tu kwangu hela za gesti siyo shida.
Tatizo hapa ni kuwa mwanaume akipiga kimoja chaliii, hali inayompelekea bibie msongo wa mawazo as hafikishwi. Kumbuka tendo la ndoa ni kiungo muhimu mnooo cha ndoa. Sasa sijui kuwa na wanume tofauti tofauti ndiko kulikompelekea huyo mwanaume awe hivyo!! Nashindwa kuunganisha hii lawama unayompa mwanamke na tatizo la mwanaume. Maana mwanaume kweli amekiri kuwa ana tatizo.Nadhani hapa tumetofautiana uelewa dada ake mi sikuwa namaanisha mshindo huo mie nilimaanisha ile kubadili badili wanaume. Pole.