juju000
Senior Member
- Apr 2, 2015
- 151
- 94
Kuna mdogo wangu alimaliza kidato cha sita mwaka Jana, na alisoma mchepuo wa PCB na matokeo yake yalikuwa ni
(Phys C) , (Chm B), (Biol B), (Bam B) .
pamoja na matokeo hayo aliomba koz za udaktari na alikosa kisha profile lake kufutika.
Nakisha alipangiwa Udom education, alipofika chuon aliomba kubadili kozi hiyo kwenda Medicine ila walimkatalia kwamba nafasi zimejaa, akaomba kwenda nursing pia akaambiwa nafasi za uhamisho wa kozi zimeshawahiwa.
Hivyo kijana huyo alichukua maamuzi magumu ya kuacha chuo.!!
Bado anamawazo ya kuomba tena Medicine mwaka huu .
Je kwa matokeo hayo ya CBB anaweza kupata.??
Au ni kozi gani ya udaktari wana Jf mnamshauri aombe.??!!
Msaidieni kwa mawazo wakuu kwani mimi nmeshindwa cha kumshauri.??
Nilisoma PCB niliupenda udaktari ila nikakosa nafasi.. nkaona ts not God's will.. nkaachana nayo namalizia diploma in civil engineering dis year... Mwambie aangalie plan B may be haijapangwa ivo