mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
kigogo analia tweeter baada ya info zake kuwasilishwa dawati la jinsia na watoto[emoji16][emoji16][emoji16].Is that Kigogo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kigogo analia tweeter baada ya info zake kuwasilishwa dawati la jinsia na watoto[emoji16][emoji16][emoji16].Is that Kigogo ?
Usinijaze ujinga ujinga nilishauacha huko ccmsi alikengeuka!!!hawezi pigwa na kibunda tena.
gharama yote ya nini,kwani wa kike si wapo???Acha hivyo, kuna wanaotumia ID za kike na kuwaingiza king wanaohusudu libeneke!
na wanawasumbua akili.Usinijaze ujinga ujinga nilishauacha huko ccm
Acha hivyo, kuna wanaotumia ID za kike na kuwaingiza king wanaohusudu libeneke!
Labda baada ya jamaa kuliwa ndogo kama walivyosema wadau humu.Ndoa ya Roma ilivunjika kwa lipi ?
Ni bora kuhamia Kenyatta ya talk tu maana hawa moderators wa jf wamenunuliwa tayari.
na wanawasumbua akili.
Hiyo hapo best!Uzi bila picha haunogi
Labda kama angeliwa kwa miaka mingi mfululizoLabda baada ya jamaa kuliwa ndogo kama walivyosema wadau humu.
Syo kulopoka tu!Uwe mpole,lengo kuropoka kuishe
Enzi za yule Dr kutekwa. Magufuli hakuwa Rais. Haya mambo ya kutekana siyo poa kabisa.Siasa za hovyo zilizoasisiwa na dikteta
Mkuu naomba kuuliza kuna kigogo wa ngapi?... Naona Kigogo2014 na Kigogo2013Tunakutegemea Kigogo kutupa feedback za watekaji.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mwisho mtasikia kapatikana kwa mama yake bumbuli anakula mhogo
Huenda kesi alizofunguliwa zinamtesa na watesi wake labda wamempa hizo options ili Mambo yaishe