Msaidizi wa Benard Membe, Allan Kiluvya adaiwa kutekwa na watu ‘wasiojulikana’

Msaidizi wa Benard Membe, Allan Kiluvya adaiwa kutekwa na watu ‘wasiojulikana’

Hili alitolee kauli Max, maana tunaweza kushuhudia Exodus kuliko ile ya wayahudi Kyle Misri
Ni bora kuhamia Kenyatta ya talk tu maana hawa moderators wa jf wamenunuliwa tayari.
 
Uzi bila picha haunogi
Hiyo hapo best!
IMG-20190701-WA0000.jpeg
 
Watekaji mnainajisi nchi yetu Tanzania.
Ccm mning'ang'ania muitawale nchi wakati hali ya maisha imekuwa mbaya hamuoni/hamusikii?
 
Idara nyeti wameanza kugeukana Hali ni Tete japo kwa huyu atarudi tyuu Zimu likujualo
 
Graduators mliopitia jeshi undeni genge la usalama wa raia tulindane
 
Back
Top Bottom