Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,614
- 17,626
Duuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafakari mkuu.So strange. ... kwamba wanaotekwa ni wapinzani wa Serikali. ....
Sasa mtekaji ni nani?
Unaachiliwa kwa mutual agreement...ukigoma hurudi unapewa nauli kwenda kuzimu.Hivi hawa wote wanaotekwa na kuachiwa mbona hakuna hata mmoja amewahi kuja na story ambayo inasaidia kkupatikana kwa watekaji? Japo ile story ya Roma Mkatoliki kidogo inaweza kuwa na vi clue
Unaachiliwa kwa mutual agreement...ukigoma hurudi unapewa nauli kwenda kuzimu.
sio kwa waoga kama waleHuko anakotaka kwenda siko....jamaa atafeli hatari...
Na CCM ina uwezo wa kumfix tu kama itaona for the benefit of the nation...hata kama yeye mwenyewe kakalia kigoda watu wanakibetua vilevile.
Wameanza kukulanaAisee, sasa imekuwa CCM wenyewe kwa wenyewe, hongera CCM
Tatizo mnawalea lea hao watu uweni ndugu zaoWakuu,
Taarifa nilizozipata punde zinaonyesha ndugu Allan Kiluvya ametekwa jana usiku maeneo ya Mbezi.
Allan anadaiwa kuchukuliwa na watu takribani 7 waliokuwa na silaha.
More to follow
Kunambinu za utekaji, wanakuja watu ndiyo mara yako ya kwanza kuwaona, wanakuchukua, unaenda kuhojiwa na watu tofauti na uludishwa na watu tofauti lazima uone wenge tu.Hivi hawa wote wanaotekwa na kuachiwa mbona hakuna hata mmoja amewahi kuja na story ambayo inasaidia kkupatikana kwa watekaji? Japo ile story ya Roma Mkatoliki kidogo inaweza kuwa na vi clue
Cc KigogoAtakua man of the mechi tena?View attachment 1148526
Hivi hawa wote wanaotekwa na kuachiwa mbona hakuna hata mmoja amewahi kuja na story ambayo inasaidia kkupatikana kwa watekaji? Japo ile story ya Roma Mkatoliki kidogo inaweza kuwa na vi clue