Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Huko anakotaka kwenda siko....jamaa atafeli hatari...
Na CCM ina uwezo wa kumfix tu kama itaona for the benefit of the nation...hata kama yeye mwenyewe kakalia kigoda watu wanakibetua vilevile.
Mkuu nguvu ya wanaccm pia iko kwenye hayo hayo madaraka. Hivyo hawana lolote la kumfanya kwa sasa.