Msaidizi wa Benard Membe, Allan Kiluvya adaiwa kutekwa na watu ‘wasiojulikana’

Msaidizi wa Benard Membe, Allan Kiluvya adaiwa kutekwa na watu ‘wasiojulikana’

huyu na vijana wake wanachokitafuta watakipata, sasa au baadae siku za usoni upuuzi huu hauwezi kupita hivihivi.
Sikio la kufa, wapo wanaccm wengi akiwemo Membe walifurahia unyama huu dhidi ya Wapinzani, kwa kuwa hayakuwahusu walikaa kimya nakuona sio tatizo nadhani Mungu anawakumbusha mmoja mmoja kwa.wakati wake.Lowassa alishapata somo.
 
Hivi hawa wote wanaotekwa na kuachiwa mbona hakuna hata mmoja amewahi kuja na story ambayo inasaidia kkupatikana kwa watekaji? Japo ile story ya Roma Mkatoliki kidogo inaweza kuwa na vi clue
Aliyekuteka ndiy anakuachia na ndiye anayekusikiliza mashitaka yako, utaponea wapi hata ukisema??
 
Mbona tayari wanajulikana baada Shujaa Zakaria kuwachabanga wawili shaba na wenzao kushindwa kuwaacha majeruhi ndio wakajitangaza kuwa "sisi ni usalama aka wasiojulikana, tafadhali mzee Zakaria usitumalize"
Hivi walipona ?! I wish wangekufa
 
Mkuu naomba kuuliza kuna kigogo wa ngapi?... Naona Kigogo2014 na Kigogo2013
Fanya uje dar tena nkupeleke kna pub moja hatare sana iko mitaa ya kwa zena (Jina kapuni)hyo interior ndani balaa
Wajanja tu ndy wanaijua
Sjui umenielewa

Ova
 
Huko anakotaka kwenda siko....jamaa atafeli hatari...

Na CCM ina uwezo wa kumfix tu kama itaona for the benefit of the nation...hata kama yeye mwenyewe kakalia kigoda watu wanakibetua vilevile.
sio kwa utawala huu mkuu, ccm walaji maswala ya benefit of nation sahau.
 
Waulize walionifuata walitaka nini?
Hahahahahahah acha kiki za kijinga,kwa lipi la kutisha ufuatwe PM?Ndio maana mnapata shida coz mnaendesha siasa za ulaghai humu.eti tunafatwa PM hahahahahahah, JF bwana kila mtu mjuaji, TISS,Ana hela na anataarifa nyeti toka serikalini.
 
Unang'ang'ania "kinyume cha sheria" ndiyo nini ?!. Jamaa wamekemea utekaji wanaonyeshwa kwa kutekwa !!. Hicho ndicho kimbele cha sheria ?!.

Mambo mengine siyo ya kushabikia. Hata kina Hitler , Ghadaffi nk walitumia magenge kama haya, mwisho wake nini ?!
Kama wamejiteka wenyewe kujustify hoja zao?Fikiria nje ya box.
 
Kwa kuwa haya mambo ya kijinga yanajirudia mara kwa mara na hakuna hatua yoyote inayochukuliwa inafanya "Prime Suspect" awe rahisi mno kujulikana.

Ambacho sijui tu ni kwamba kwa haya yanayotokea hii awamu itakuja kudai kuwa na yenyewe ni mafanikio ktk awamu husika?
I still don't know but time will tell.
 
Hahahahahahah acha kiki za kijinga,kwa lipi la kutisha ufuatwe PM?Ndio maana mnapata shida coz mnaendesha siasa za ulaghai humu.eti tunafatwa PM hahahahahahah, JF bwana kila mtu mjuaji, TISS,Ana hela na anataarifa nyeti toka serikalini.

Mkuu na ww si huwa unajifanya tiss humu jukwaani? Taarifa nyeti toka serikali ya Tz, ingekuwa taarifa za serikali ya US kwako si ungeona ni kama za mbinguni? Siasa za ulaghai ndio zipi boss?
 
Back
Top Bottom