Pre GE2025 Msajili apiga Marufuku Kongamano la CHADEMA mkoani Mbeya, asema matamko yao yanahusisha vitendo vya uvunjifu wa amani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hayo mamlaka kayapata kutoka sheria gani? Mtoa Mada, tafadhari tuhabarishe vipengere vya sheria au katiba alivyotaja ktk maamuzi hayo…
 
Msajili hataki mkutano wa kuweka mikakati ya chaguzi za serikali za mitaa kwa Chadema huku Nchimbi na Makalla wakifuatana na saliti Masigwa wanafanya kampeni nchi nzima 😡
 
Wangewaacha tu...

Kuwazuia ni kuwapa mileage ambayo hawana...
Tena pamoja na kuwaongezea wafuasi. Hawa watu ama hawapewi taarifa sahihi na vyombo vya usalama ama wanajiamulia tu kwa mawazo yao.
Rais Samia tumbua hawa inaonekana hawajaelewa 4Rs.
 
..Chura kiziwi / Polisi / Msajili wangepotezea tu kama walivyopotezea kwenye maandamano.

..Hii habari ya kuogopa na hofu ndiyo inasababisha mambo ya kijinga kama tukio la Sativa.
Hapa wanaenda kumpa Mwabukusi sifa nyingine.
 
Ni aibu kubwa sana kwanini asifute upinzani tubaki na sisiemu tubanane humohumo chama kimoja. ? Mnajinasibu kufanya makubwa halafu how come mnaogopa hawa CDM kulikoni?
CCM bila mbeleko ya Polisi, ni wepesi kukiko tissue!😀
 
Nisaidieni, kifungu kipi cha sheria kinampa mamlaka msajili wa vyama kupiga marufuku mikutano? Au ni kuvimbiwa tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…