Msajili Hazina: Watumishi wa Umma wako busy kuomba uhamisho kwenda TRA, EWURA, TANESCO na TPA kufuata maslah makubwa

Msajili Hazina: Watumishi wa Umma wako busy kuomba uhamisho kwenda TRA, EWURA, TANESCO na TPA kufuata maslah makubwa

Hivi haiwezekani mishahara ikawa sawa kwa wote? Au maslahi yanayoongelewa ni pesa ya kubrashia viatu?
Thubutu! Kuna taasisi ukiweka mishahara midogo (ya kawaida) utakuwa umepalilia rushwa na wizi utakaopelekea uchumi ku collapse. Mfano afisa wa TRA anayeenda kumkadiria mfanyabishara kodi ya mamilioni au bilioni umlipe milioni moja au mshahara sawa na mwalimu au afisa maendeleo au bwana kilimo!
 
Thubutu! Kuna taasisi ukiweka mishahara midogo (ya kawaida) utakuwa umepalilia rushwa na wizi utakaopelekea uchumi ku collapse. Mfano afisa wa TRA anayeenda kumkadiria mfanyabishara kodi ya mamilioni au bilioni umlipe milioni moja au mshahara sawa na mwalimu au afisa maendeleo au bwana kilimo!
Tunapoelekea mifumo itaruhusu hili. Afisa hapati nafasi ya kuonana na mfanyabiashara. AI inamalizana na mfanyabiashara.
 
Halafu wakifika kwenye hizo taasisi hawawezi kazi.

Wamezoea kuingia na kutoka na sherehe sherehe huko walikotoka kuoiga mzigo hawawezi.

Yaani unaambiwa hadi aibu kwamba wamefikajefikaje?

Ni afadhali kila taasisi iajiri yenyewe kuliko kupelekewa watumishi mizigo.
Nani kakwambia hawawezi!??
 
Dawa ni scale za serikali zitumike across regardless uko wapi. Hapa Hata walimu watanufaika. Kwa mfumo huu serikali imetengeza taasisi muhimu na taasisi mkafie mabli au Bora liende. Ukitoka hapo unataka matokeo chanya na uwajibikaji. Subutu.
Usiwe na shaka, siku za usoni shule nazo itabidi zijitegemee kama taasisi nyingine yoyote ya Kiserikali.


Wameanza na mashirika ya umma na ya kiserikali, na taasisi zake zote.

Wanakuja kuondoa ujinga wa kupeleka pesa taasisi zote za kidini.

Wakimaliza hapo mashule lazima yajitegemee.
 
Hili nilitolea Uzi Jana humu jukwaani !! Tatizo ni serikali kuweka imbalance ya kipato!! Watumishi wamevurugwa na maslahi duni huko halmashauri!! Pia kikokotoo kinawachangaya watumishi
 
Usiwe na shaka, siku za usoni shule nazo itabidi zijitegemee kama taasisi nyingine yoyote ya Kiserikali.


Wameanza na mashirika ya umma na ya kiserikali, na taasisi zake zote.

Wanakuja kuondoa ujinga wa kupeleka pesa taasisi zote za kidini.

Wakimaliza hapo mashule lazima yajitegemee.
Shule kujitegemea!? Kivipi!? Ikusanye ada ijilipe!?
 
Thubutu! Kuna taasisi ukiweka mishahara midogo (ya kawaida) utakuwa umepalilia rushwa na wizi utakaopelekea uchumi ku collapse. Mfano afisa wa TRA anayeenda kumkadiria mfanyabishara kodi ya mamilioni au bilioni umlipe milioni moja au mshahara sawa na mwalimu au afisa maendeleo au bwana kilimo!
Takukuru kazi yao ni nn?? Ninachokiona hapa ni wale Wafanyabiashara wakubwa waliofanikiwa kujipenyeza/kuwapenyeza kwenye siasa ndio wanaohakikisha kuwa, wanawaweka watu/jamaa zao kwenye Taasisi zile.

Malipo/mishahara yao lazima wahakikishe ni minono ili waweze kuwafichia maovu yao.
 
Thubutu! Kuna taasisi ukiweka mishahara midogo (ya kawaida) utakuwa umepalilia rushwa na wizi utakaopelekea uchumi ku collapse. Mfano afisa wa TRA anayeenda kumkadiria mfanyabishara kodi ya mamilioni au bilioni umlipe milioni moja au mshahara sawa na mwalimu au afisa maendeleo au bwana kilimo!

Hii statement ilipenda kutolewa na viongozi wa kisiasa wa miaka ya 90 huko wasiopenda kuwajibika katika madhambi yao na ili tu kulinda maslahi yao binafsi.

Lakini kiuhalisia huyo mfanyakazi wa TRA anapoishi na kufanya kazi kwenye mazingira wezeshi na rafiki, hawezi kuteteleka na rushwa vinginevyo huyo mtu ni mshenzi na mrafi tangu kuzaliwa kwake.

Mfano mdogo

1) Unanilipa laki 3 tu kwa mwezi lakini sehemu Nzuri ya kuishi, chakula kizuri, huduma za kibinaadam za msingi zipo zote, usafiri upo Kama unahitajika na kila nikikuhitaji kwa msaada wowote ule unanifikia kwa haraka bila ukiritimba, pia ufisadi na mafisadi wanawajibika na kuwajibishwa ipasavyo, Amani imetawala…

Vs

2) Unanilipa mshahara milioni 3, huduma za maisha za msingi mbovu, chakula, makazi, usafiri, miundo mbinu, vyote vya hovyo na ufisadi na mafisadi wanapambwa badala ya kuadhibiwa, rushwa na ukiritimba ndio PGO ya utendaji, Amani ya mashaka mashaka…


Unadhani situation namba ngapi itanisukuma kupokea rushwa kwa haraka zaidi?
 
Takukuru kazi yao ni nn?? Ninachokiona hapa ni wale Wafanyabiashara wakubwa waliofanikiwa kujipenyeza/kuwapenyeza kwenye siasa ndio wanaohakikisha kuwa, wanawaweka watu/jamaa zao kwenye Taasisi zile.

Malipo/mishahara yao lazima wahakikishe ni minono ili waweze kuwafichia maovu yao.

Upo sahihi.

Maslahi binafsi na ubinafsi ndio haswa base.
 
Na ndiyo maana mama Samia jana kasema "ukiuwa shirika au taasisi ufe nayo hukohuko ukija kwangu nakuuwa mimi, sitanii".
Baada ya wao kuuwana sisi kama wananchi tunafaidika na nini ?

Haya mambo ya kuwa Reactive na Sio Pro-active ni kutafuta mbuzi wa kafara wakati mambo yanazidi kuharibika
 
Maslahi ya watumishi wa umma yataendelea kuboreshwa na kila mmoja ataendelea kunufaika 'popote alipo'.
Nawasihi watumishi kutulia na kutopaparika kwani katika jitihadi za uboreshaaji wa maslahi ya watumishi, kila mmoja atahakikishwa kuwa amenufaika popote pale alipo.
 
Dawa ni scale za serikali zitumike across regardless uko wapi. Hapa Hata walimu watanufaika. Kwa mfumo huu serikali imetengeza taasisi muhimu na taasisi mkafie mabli au Bora liende. Ukitoka hapo unataka matokeo chanya na uwajibikaji. Subutu.
We unafikiri watu wanakimbilia sana mshahara, ishu ni hela ya kupigia brashi aka kamba ndefu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dawa ni scale za serikali zitumike across regardless uko wapi. Hapa Hata walimu watanufaika. Kwa mfumo huu serikali imetengeza taasisi muhimu na taasisi mkafie mabli au Bora liende. Ukitoka hapo unataka matokeo chanya na uwajibikaji. Subutu.
Hebu saidia ni namna gani scale zifanane across.
Maana baada ya mkapa kutofautisha serikali na taasisi za kiserikali na kuzipa uhuru wa kujilipa kulingana na wanachokizalisha kila taasisi ilijiwekea scale yake. Scale nyingine zina maslahi makubwa sana.
Ili ku cut across kwa scale lazma ufanye harmonization across, hii maanake ni kuwa kila mtumishi wa umma apate maslahi yale yaliyo juu kabisa ktk scale ambayo ndo best ktk taasisi kwa kuwa huwezi kushusha mshahara wa mtu.
Hii maanake ni kuwa bajeti yote ya serikali ita service mshahara pekee na pengine isitoshe
 
Back
Top Bottom