Usiwe na shaka, siku za usoni shule nazo itabidi zijitegemee kama taasisi nyingine yoyote ya Kiserikali.
Wameanza na mashirika ya umma na ya kiserikali, na taasisi zake zote.
Wanakuja kuondoa ujinga wa kupeleka pesa taasisi zote za kidini.
Wakimaliza hapo mashule lazima yajitegemee.
Shule unazozijua wewe Mzee mwezangu zilikuwa za katoliki,Pugu,Minaki,Tosamaganga,Tabora boys ,Girls ,Kibaha sekondary na
Vyuo vya ualimu vyote Tanzania waliviomba toka kwa kanisa na hawajavirudisha ,Chuo cha chang'ombe sasa DUCE ,Msasani na Mpuguso Mbeya,Matogoro Songea Ruvuma
Serikali ilipoamua kuzipora waliweka makubaliano baadhi ya taasisi hawakuzipora na waliahidi watazirudisha baadae
Mpaka sasa shule zote hawajazirudisha kwa kanisa mpaka vyuo vya ualimu
Serikali walipora mpaka hospital baadae zikawa zinafanya vibaya ndio ikaja makubaliano ya kuziendesha
Hospital kubwa kama Ndanda lindi,Peramiho Songea zote serikali iliingilia zikataka kufa ndio wanashirikiana kuziendesha
Serikali wakitaka si wazirudishe ,Kila siku kanisa linataka shule zake na hospital zake
Kanisa linaidai serikali Pugu sekondari kila siku ,Serikali hawataki kuirudisha kwa walioijenga shule wakatoliki
Pugu pale ni eneo la hija la wakatoliki Dar es Salaam na ile shule ni yao
Jumapili kibao michango inatolewa kukarabati eneo la Pugu na ni DSM yote michango inachangwa
Serikali wawarudishie wakatoliki shule zao na hospital zao kwanini bado wanazitumia wakati wana shule zao za kata?
Cha kushangaza wamezikarabati zote na wanaziita shule za vipaji maalum