Uchaguzi 2020 Msajili: Mgombea aliyesema ataingiza watu barabarani kama akishindwa Urais ametoa lugha za vitisho, siyo ustaarabu

Uchaguzi 2020 Msajili: Mgombea aliyesema ataingiza watu barabarani kama akishindwa Urais ametoa lugha za vitisho, siyo ustaarabu

Hahahaaaa..... Baada ya shughuli ya Kumdhamini Rais Magufuli kukamilika nilirejea Iringa.

Na nimejiridhisha mchungaji Msigwa atafungasha virago 28 October saa 4 asubuhi!

Kesho nitarudi tena Dodoma kushereheke Nane Nane si unajuwa hakuna ofisi inafunguliwa kesho bwashee?

Maendeleo hayana vyama
Hivi hamjifunzi tu kuwa wanyalu huwa wanawadharau sana wanawake?
Natanguliza pole za dhati kwa huyo Jesca 🤣🤣🤣
 
Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.

Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.

Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani

Maendeleo hayana vyama!
Tujiandae tu kuingia barabarani maana CCM itashinda kwa kishindo ambacho hakijawahi kutokea
 
Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.

Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.

Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani

Maendeleo hayana vyama!
Amekosea msajili, mgombea alisema endapo akiibiwa kura na sio akindwa!
 
Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.

Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.

Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani

Maendeleo hayana vyama!
Huyu Mgombea Mwaka huu atawapa Stroke au Cardiac Arrest!!! Hamchoki kumchokonoa.
 
Msajili msaidizi wa vyama vya siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.

Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.

Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani

Maendeleo hayana vyama!
Huyu jamaa kweli jina lake linafanana na akili yake.."Nya....hoza" Lisu alisema kama ataibiwa sio endapo atafeli hizo ni sentensi mbili tofauti....Tatizo anayemtuma nae akili yake ni kama sufuria tu au mtungi wa maji
 
Karani katika ubora wake,wala hajui kilichosemwa.
 
Akili ndogo siku zote hazifikirii kamwe! Tundu Lissu alisema "Wakiibiwa kura wataingia barabarani, sio kuwa wakishindwa uchaguzi". Mbona mnapenda kuwawekea watu maneno midomoni? Faki Yuu Meni!
Faki yu too..:-(^_^
 
Msajili msaidizi wa Vyama vya Siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.

Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.

Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani

Maendeleo hayana vyama!
Wamezoea kupindua matokeo halafu maisha yanaendelea,wana kisiki cha mpingo safari hii.Lissu atawanyoosha.Na naomba awanyooshe tu.Tunataka HAKI ya watanzania kuchaguwa viongozi wao wanaowataka iheshimike.
 
Msajili msaidizi wa Vyama vya Siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.

Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.

Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani

Maendeleo hayana vyama!
Nini maana ya "kuibiwa" na nini maana ya "kushindwa!" Labda mimi sijui kutofautisha
 
Msajili msaidizi wa Vyama vya Siasa mh Nyahuza amevitaka vyama vya upinzani kuacha mbwembwe na kuzingatia sheria tunapoelekea uchaguzi mkuu.

Nyahuza amesema kuna mgombea urais ametoa vitisho vya kuingiza watu barabarani endapo atafeli kwenye uchaguzi wa Rais, mtu huyo amepungukiwa ustaarabu.

Pia soma> Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu: Nikiibiwa kura nitawaingiza wananchi barabarani

Maendeleo hayana vyama!
Kwani vitisho vinaangaliwa kwa mrengo mmoja tuu,au Mimi sijaelewa maana ya maendeleo hayana vyama.
 
Back
Top Bottom